Gallijembe
Senior Member
- Jan 6, 2014
- 181
- 37
mkuu wenzetu huwa wanatumia akili sana kwenye hizi game wewe subiri utaona mambo yakibadilika
kawaida tu..
huna timu ya kumfunga Barca 7
Naomba Puyor awekwe bench ili ampishe Alba,pia Neymar atokee bench.
Sina shaka busquets atatawala dimba la chini vema.
Fernandinho,David Silva & YAHYA Toure wote wapo hakuna lolote wanalofanya zaidi ya kucheza faulo. Barca wamenyimwa penati kolarov kashika eneo la 18.