Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium


ahsante mkuu kwa dondoo
 

kweli kabisa maana Barca hawana beki wanalindwa na kiungo chao
 
Wamekutana na timu bora iliyotoka kumpiga mtu bao 6-0!


Mourinho akiwa na Chelsea huwa hawaruhusu kabisa Barc kucheza hivi hasa wakiwa Darajani! Lkn city kapwaya sn!
 
tofauti na supersport ni channel gani nyngne inaonyesha ucl?

kwa sisi wa Mwanza tunaangalia ktk cable ya muhindi kupitia chaneli ya Bein sports zamani ikijulikana Al Jazeera sports
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…