Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Uchaguzi wa ndani wa CCM umewaweka kando wagombea wote waliotoka upinzani.
Wagombea wote waliounga mkono juhudi wamejikuta wakishindwa kupenya katika chujio la uchaguzi wa ndani wa CCM na kubandikwa majina ya jebehi kama wakuja, mamluki na nk.
Uchaguzi wa wenyeviti unatarajiwa kufanyika mwezi November 2019.
Kwa hakika wale wote waliounga mkono juhudi wamejikuta wakishindwa vibaya na kuonekana kituko.
Wagombea wote waliounga mkono juhudi wamejikuta wakishindwa kupenya katika chujio la uchaguzi wa ndani wa CCM na kubandikwa majina ya jebehi kama wakuja, mamluki na nk.
Uchaguzi wa wenyeviti unatarajiwa kufanyika mwezi November 2019.
Kwa hakika wale wote waliounga mkono juhudi wamejikuta wakishindwa vibaya na kuonekana kituko.