Mamluki washindwa kupenya uchaguzi wa ndani CCM

Mamluki washindwa kupenya uchaguzi wa ndani CCM

sasa mkuu kwani ulitaka wapitishwe wote?? nini maana ya kura za maoni??
 
sasa mkuu kwani ulitaka wapitishwe wote?? nini maana ya kura za maoni??

Ukitazama kwa jicho la tatu ni kwamba thamani yao ndani ya CCM ilikuwa kubwa kipindi kile cha kuunga mkono juhudi.

WanaCCM kinda kinda ndani wakiwapokea kwa mbwe mbwe nyingi kipindi kile sasa baada ya kutumika wanawaona hawana thamani hata chembe.

Nawaonea huruma sana Mollel,na wapinzani wote waliokimbilia CCM kwasababu upo uwezekano mkubwa wakatupwa nje wakati wa uchaguzi Mkuu mwaka 2020

Muda ni msalimie mzuri sana
 
Ukitazama kwa jicho la tatu ni kwamba thamani yao ndani ya CCM ilikuwa kubwa kipindi kile cha kuunga mkono juhudi.

WanaCCM kinda kinda ndani wakiwapokea kwa mbwe mbwe nyingi kipindi kile sasa baada ya kutumika wanawaona hawana thamani hata chembe.

Nawaonea huruma sana Mollel,na wapinzani wote waliokimbilia CCM kwasababu upo uwezekano mkubwa wakatupwa nje wakati wa uchaguzi Mkuu mwaka 2020

Muda ni msalimie mzuri sana
Ni kama vile kondomu tu,kabla ya kuitumia inakuwa na thamani kubwa na unaihifadhi vizuri,lakini ukishaitumia unaishika kwa kinyaa kuwahi kuitumbukiza chooni. Hivyo wasaliti woote wanapostahili kuwa ni chooni tu na siyo chumbani tena.
 
Ni kama vile kondomu tu,kabla ya kuitumia inakuwa na thamani kubwa na unaihifadhi vizuri,lakini ukishaitumia unaishika kwa kinyaa kuwahi kuitumbukiza chooni. Hivyo wasaliti woote wanapostahili kuwa ni chooni tu na siyo chumbani tena.
👍
 
Back
Top Bottom