Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 71
Timu ya Netball ya Ofisi ya Waziri Mkuu imetolewa kwenye mashindano ya SHIMIWI na kufutiwa ushindi wa mechi zao zote 4 kwa kuchezesha wachezaji ambao si watumishi wa Ofisi hiyo, wamechezesha wachezaji wa Timu za mitaani.