mkereketwa89
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 277
- 145
nadhani na wewe huna tofauti na uwezo mdogo wa kufikiri kama wa huyo mwanasheria wa itv na radio one. samahani sana mkuu ila ukweli ndiyo huo. najua una maanisha manslaughter ila tambua ya kwamba ulivyoitafsiri wewe sivyo ambavyo legal guru wangeitafsiri kwani ina factors zake hadi kuja kuwa justifiable.
Bila shaka yy pia anafactors zake ambazo ww na uwezo wwko mkubwa wa kufikiria umeshindwa kuzijua..eti legal guru..