Mamlaka ya hali ya hewa yatahadharisha ujio wa mvua kubwa kuanzia 31 Oktoba

Utabiri ni kama kubet tu sio lazma matokeo yawe vile ulivyobet. Cha msingi ni kuchukua tahadhar za msingi ili ikitokea isikusurprise
 
mi naona wasiwe wnaatabiri kitu ambacho hakitokei.......
waache yakija yaje tu
 
Mie Jamaa wakitangaza Mvua kali kunyesha ndio huwa nafua nguo nyingi Siku wakitangaza Jua kali litawaka natoka Nyumani na Koti na Mwamvuli.

najua Jamaa ni vilaza hatari
 
Watabiri ninaowakubali ni wale wa Marekani tuu maana wanaweza kukutabiria hata mvua itakayonuesha uani kwako.
 
Watabiri ninaowakubali ni wale wa Marekani tuu maana wanaweza kukutabiria hata mvua itakayonuesha uani kwako.

Waulize walipotabiri Hurricane Matthew, walichemka vibaya na kilichotokea ni tofauti na utabiri wao pamoja na kutumia satelite na drones. Jamaa wana technolojia nzuri kushinda mataifa mengi mengine lakini si sahihi kuwa wana unakika na wanachokitabiri, na ndio maana unaitwa "Utabiri"...

Why Isn’t the U.S. Better at Predicting Extreme Weather?
 
si mvua ya kilimo mkuu hiyo tena huko shamba mabondeni nduo usiende kabisa siku hiyo kama huna mpango wa kucheza singeli na mamba,viboko nk
hahaha na kashamba mjini huku mtaani hakapo ktk mkondo wa maji na maji huchelewa kukauka.
nilidhani kama hizo vulimasika zinaweza kusaidia ili nitie mmea ktkt ya majanga hayo tarajiwa.
 
hahaha na kashamba mjini huku mtaani hakapo ktk mkondo wa maji na maji huchelewa kukauka.
nilidhani kama hizo vulimasika zinaweza kusaidia ili nitie mmea ktkt ya majanga hayo tarajiwa.
mkuu ukiweka mimea inang'olewa ,hizi ni mvua za kujifungia ndani na kupanda mbegu za kibinadamu ikifika september si vichanga hivyo mtaani,kila nyumba kelele za ng'aaa ng'aaa!!
 
Back
Top Bottom