Habari wanajamii hakika kila MTU anaweza kukubaliana nami kuwa hali ya nchi yetu sio nzuri has a kwa kutawala ukame sehemu kubwa na hali ngumu ya maisha inayotukabili. Najiuliza maswali machache kuwa tumekosea wapi?. Ndio nikapata jibu langu kuwa je ni vile tulimkataa Musa 2015 aliyetuahidi kutupeleka nchi ya ahadi? Tukang'ang'ania nyama za utumwani..?? Au safari tumeanza ya miaka 40 ya mateso ili tufikie nchi ya ahadi.?? Naomba kuwasilisha wadau???
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app