R Retired JF-Expert Member Jul 22, 2016 40,402 74,004 Apr 1, 2021 #1 Jana Mama Kijazi alisema utabiri wenu kwa Sasa umepanda hadi 96 pc accuracy. Sasa tangu December 2020 Tanga mjini hakuna mvua mpàka leo. Sababu ni zipi za kukosekàna mvua?
Jana Mama Kijazi alisema utabiri wenu kwa Sasa umepanda hadi 96 pc accuracy. Sasa tangu December 2020 Tanga mjini hakuna mvua mpàka leo. Sababu ni zipi za kukosekàna mvua?
STRUGGLE MAN JF-Expert Member May 31, 2018 8,638 16,568 Apr 1, 2021 #2 Ndio tuamini kama yuko mwenye kucontol hali ya hewa binaadam hajakamilika na hawezibkuju what's gnna happen tomorrow
Ndio tuamini kama yuko mwenye kucontol hali ya hewa binaadam hajakamilika na hawezibkuju what's gnna happen tomorrow
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Sep 4, 2018 6,527 11,055 Apr 1, 2021 #3 Mambo mengine tumuachie Mungu. Sijui kwanini siku hizi hakuna manabii wa Mungu