utabiri ulitolewa kuwa kuanzia mwezi wa Oktoba kutakuwa na Elnino na wananchi wachukue tahadhari hasa wale wanaoishi mabondeni.
Kwa hatua tuliyofikia ambayo mambo sasa ni ya kisayansi mbona utabiri wenu una kasoro kubwa.
Mimi nimekaa Marekani- Washington DC wakitangaza kuwa mvua kubwa itashuka kuanzia mathalani saa 8.30 mchana, muda huo huo ukifika utaona mvua inaanza kunyesha.
Utabiri kama huu unaleta usumbufu kwa wananchi na hasara isiyotegemewa.
Nawashauri, hebu kuweni maakini katika utabiri wenu.
Kwa hatua tuliyofikia ambayo mambo sasa ni ya kisayansi mbona utabiri wenu una kasoro kubwa.
Mimi nimekaa Marekani- Washington DC wakitangaza kuwa mvua kubwa itashuka kuanzia mathalani saa 8.30 mchana, muda huo huo ukifika utaona mvua inaanza kunyesha.
Utabiri kama huu unaleta usumbufu kwa wananchi na hasara isiyotegemewa.
Nawashauri, hebu kuweni maakini katika utabiri wenu.