Mimi ni wakili wa kujitegemea nauliza hivi hizi power alizopewa dpp ni nani anauwezo kisheria kuzitengua.kwa mantik inajulikana ni rais the point is how and under which law msaada plz
Rais hana uwezo wa kutengua power za dpp, kwa kuwa dpp ni creature wa katiba kama alivyo yeye, labda kama unazungumzia kumfukuza kazi, ambapo anaweza kufanya hivyo kwa kumteua dpp kuwa jaji, kama alivyofanya kwa ndugu yetu Geofrey Shaidi.
Rais hana uwezo wa kutengua power za dpp, kwa kuwa dpp ni creature wa katiba kama alivyo yeye, labda kama unazungumzia kumfukuza kazi, ambapo anaweza kufanya hivyo kwa kumteua dpp kuwa jaji, kama alivyofanya kwa ndugu yetu Geofrey Shaidi.
Thanks mkuu! I have gone through the law. The president can remove the dpp only afetr it has been recomended to that effect by a special tribunal he formed upon consultation of the Attorney General.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.