Nimesikiliza taarifa ya habari ya BBC Swahili Leo hii saa tatu kupitia Star tv mwandaa maudhui na mtangazaji wake wamepwaya sana hasa kesi ya Lissu walivyoitolea taarifa.
Kila haki nyuma kuna wajibu,BBC wana malengo yao kama taasisi na hili siwalazimishi kubadilika sabu wapo kibiashara,malengo hayo yanasukumwa na sera za kimagharibi juu ya Afrika, mwenye nguvu avurugwe Ili wamtawale indirectly (western politics).
Kitendo cha wao kuwapumbaza baadhi ya waafrika wenzetu kwa kushindwa kutii tamaduni za kijiografia/kikanda na nchi husika kisipelekee kuleta insecurity-kila nchi ina sera zake na zinapaswa ziheshimiwe ukizingatia zinatii haki za binadamu ambazo ndio msingi wa sheria.
4R za mama zilikuwa wazi kabisa lkn mtu anapoibuka na kusema atafanya uhaini nchini atahakikisha nchi inavurugika kwa kukiwasha hasa, ni ukiukwaji wa wajibu wake na mtu akipelekwa mahakamani aliyempeleka anaonekana mbaya wakati kauli ya Lissu alivoitoa kuwa yeye atafanya uhaini hawakuitoa kwenye media zao kuonesha madhara ya kauli ile
Matokeo yake mtu mwenye dhamana ya nchi aliyopewa kisheria na ambaye anawajibika nayo anapotoa msimamo wake eti mwandishi wa BBC anasema anasema "amewakejeli" wanaharakati kwa kuwaambia kuwa Tz Sio shamba la bibi-ndio hivo huyu ni mkuu wa nchi pia ni Rais na ni Amiri jeshi mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama anatoa neno kama dira pindi anapoona mambo hayapo sawa sawia
Wito wangu, mamlaka ziangalie namna ya utoaji wa taarifa kwa hivi vyombo vya nje,vinapotosha,vinatweza mamlaka pia kupumbaza wananchi kwa maslahi yao binafsi
Kila haki nyuma kuna wajibu,BBC wana malengo yao kama taasisi na hili siwalazimishi kubadilika sabu wapo kibiashara,malengo hayo yanasukumwa na sera za kimagharibi juu ya Afrika, mwenye nguvu avurugwe Ili wamtawale indirectly (western politics).
Kitendo cha wao kuwapumbaza baadhi ya waafrika wenzetu kwa kushindwa kutii tamaduni za kijiografia/kikanda na nchi husika kisipelekee kuleta insecurity-kila nchi ina sera zake na zinapaswa ziheshimiwe ukizingatia zinatii haki za binadamu ambazo ndio msingi wa sheria.
4R za mama zilikuwa wazi kabisa lkn mtu anapoibuka na kusema atafanya uhaini nchini atahakikisha nchi inavurugika kwa kukiwasha hasa, ni ukiukwaji wa wajibu wake na mtu akipelekwa mahakamani aliyempeleka anaonekana mbaya wakati kauli ya Lissu alivoitoa kuwa yeye atafanya uhaini hawakuitoa kwenye media zao kuonesha madhara ya kauli ile
Matokeo yake mtu mwenye dhamana ya nchi aliyopewa kisheria na ambaye anawajibika nayo anapotoa msimamo wake eti mwandishi wa BBC anasema anasema "amewakejeli" wanaharakati kwa kuwaambia kuwa Tz Sio shamba la bibi-ndio hivo huyu ni mkuu wa nchi pia ni Rais na ni Amiri jeshi mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama anatoa neno kama dira pindi anapoona mambo hayapo sawa sawia
Wito wangu, mamlaka ziangalie namna ya utoaji wa taarifa kwa hivi vyombo vya nje,vinapotosha,vinatweza mamlaka pia kupumbaza wananchi kwa maslahi yao binafsi