Mamlaka husika angalieni Usafiri wa mwendo kasi kipindi hiki, Unatesa watu

Tunzo

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
4,021
2,296
Hali ni ngumu na nitete sana usafiri wa mwendo kasi, asubuhi ukipita Kimara Mwisho daraja la Kimara mwisho foleni imejaa Daraja zima mistari mingi, mpaka sehemu ya hizi za kupandia kutoka barabarani ni foleni ya watu.

Jioni hii watu Kariakoo wamejazana ni misururu ya watu mpaka kule kwwnye jengo, Kwanini UDART isikiri kuwa imezidiwa? Ili ipewe msaada?

Mkuu wa mkoa umepita huko makumbusho na vituo vingine, je huku mwendo kasi hapakuhusu?
Watu wanateseka huko, watu zaidi ya miatano kwenye kituo si haki, ongezeni magari
 
Nimeachana na huo ujinga sasa hivi nawahi kuamka napanda Bajaj na jioni napanda Bajaj,ni gharama but at least inasaidia.

Sheria ya huu ugonjwa kulingana na maelezo ya wataalamu mnatakiwa mkae 2metters kutoka mwenzako alipo sasa pale darajani watu wanakaa wanapakana majasho kweli pana pana usalama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeachana na huo ujinga sasa hivi nawahi kuamka napanda Bajaj na jioni napanda Bajaj,ni gharama but at least inasaidia.

Sheria ya huu ugonjwa kulingana na maelezo ya wataalamu mnatakiwa mkae 2metters kutoka mwenzako alipo sasa pale darajani watu wanakaa wanapakana majasho kweli pana pana usalama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo ndio unafanya watu wapambane na mwendo kasi
 
Kwa utaratibu huo, Kama corona itaendelea kuchipua,

kwa mlundikano huo wa Watu vituoni hatutapona.

Ombi:-

Mamlaka ziruhusu MAGARI binafsi kuchukua abiria.

KWA MAANA YA DALADALA ZA WATU BINAFSI.
 
Kwa utaratibu huo, Kama corona itaendelea kuchipua,

kwa mlundikano huo wa Watu vituoni hatutapona.

Ombi:-

Mamlaka ziruhusu MAGARI binafsi kuchukua abiria.

KWA MAANA YA DALADALA ZA WATU BINAFSI.
Hatari
 
Hili jambo la upungufu wa mabasi wa mwendokasi halikuanza leo.Nia nzuri ya kuleta mwendokasi imefutika ni mateso ni shida tu.
Wananchi wamepiga kelele wee yapata zaidi ya miaka mitatu lakini serikali ya Raisi Magufuli imetoa ahadi nyingi bila kutekeleza.
Ni kiburi tu cha watawala wetu kwani wao hawapandi hayo mabasi.
Kitu kinachoshangaza ukilinganisha nguvu nyingi inayotumia serikali ya kuboresha miundo mbinu kama kununua madege,kujenga SGR,kujenga madaraja n.k lakini kashindwa kuongeza idadi ya mabasi?
Au ni mwiko kwa serikali ya awamu hii kuongeza idadi ya mabasi ?
Hivi kweli kwenye majanga kama haya serikali ya Magu haina mabasi ya kutumia kwenye dharura,kwanini anataka watu waendelee na shughuli zao kama kawaida katika jiji letu la Dar?
Corona ni vita hata kuliko vita vya Kagera.
 
Hili jambo la upungufu wa mabasi wa mwendokasi halikuanza leo.Nia nzuri ya kuleta mwendokasi imefutika ni mateso ni shida tu.
Wananchi wamepiga kelele wee yapata zaidi ya miaka mitatu lakini serikali ya Raisi Magufuli imetoa ahadi nyingi bila kutekeleza.
Ni kiburi tu cha watawala wetu kwani wao hawapandi hayo mabasi.
Kitu kinachoshangaza nguvu nyingi inayotumia serikali ya kuboresha miundo mbinu kama kununua madege,kujenga SGR,kujenga madaraja n.k lakini kashindwa kuongeza idadi ya mabasi?
Au ni mwiko kwa serikali ya awamu hii kuongeza idadi ya mabasi ?
Hivi kweli kwenye majanga kama haya serikali ya Magu haina mabasi ya kutumia kwenye dharura,kwanini anataka watu waendelee na shughuli zao kama kawaida katika jiji letu la Dar?
Corona ni vita hata kuliko vita vya Kagera.
Waruhusu watu binafsi wenye daladala wahudumie. Bila hivyo hakuna muda huduma itakuja kuwa ahueni.
 
Kuna mabasi yapatayo 200 yamekwama bandarini kwa sababu ya urasimu wa mambo kadha wa kadha ikiwamo ya kiforodha. Napendekeza kwa suala hili la gonjwa la Corona ni mtambuka, yapate kutoka kwa dharura ili kukabiliana na adha ziwapatazo watumiaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mabasi yapatayo 200 yamekwama bandarini kwa sababu ya urasimu wa mambo kadha wa kadha ikiwamo ya kiforodha. Napendekeza kwa suala hili la gonjwa la Corona ni mtambuka, yapate kutoka kwa dharura ili kukabiliana na adha ziwapatazo watumiaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kweli haya?
 
Kuna mabasi yapatayo 200 yamekwama bandarini kwa sababu ya urasimu wa mambo kadha wa kadha ikiwamo ya kiforodha. Napendekeza kwa suala hili la gonjwa la Corona ni mtambuka, yapate kutoka kwa dharura ili kukabiliana na adha ziwapatazo watumiaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbenge
Tangu tusikie hizo story za mabasi yaliyokwama huko bandarini, hivi sasa ni zaidi ya miaka miwili.......

Nadhani hizo nazo zitakuwa fake news.......
 
Back
Top Bottom