I ibange JF-Expert Member Dec 31, 2010 1,543 550 Apr 2, 2012 #1 Chadema imepokea wanachama wengi Nachingwea wengi wakiwa wanawake katika mkutano wa hadhara. Piga kote kote Source: Tz Daima ya leo uk 5
Chadema imepokea wanachama wengi Nachingwea wengi wakiwa wanawake katika mkutano wa hadhara. Piga kote kote Source: Tz Daima ya leo uk 5
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Apr 2, 2012 #2 maitario said: Chadema imepokea wanachama wengi Nachingwea wengi wakiwa wanawake katika mkutano wa hadhara. Piga kote kote Source: Tz Daima ya leo uk 5 Click to expand... Yap! Viva CHADEMA!! Chama makini kwa Wanainchi wake!
maitario said: Chadema imepokea wanachama wengi Nachingwea wengi wakiwa wanawake katika mkutano wa hadhara. Piga kote kote Source: Tz Daima ya leo uk 5 Click to expand... Yap! Viva CHADEMA!! Chama makini kwa Wanainchi wake!
S Sarakikya joshua New Member Apr 2, 2012 3 1 Apr 2, 2012 #3 hello wana Jf hongereni kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii yetu ya tz,,,,tuongeze bidii sana..big up
TaiJike JF-Expert Member Dec 14, 2011 1,483 667 Apr 2, 2012 #5 Watanzania wa jana si wa leo.....hiyo ndo poples power.
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Apr 2, 2012 #7 Mungu yu pamoja nao wote wenye haki kama alivyoamua kule arumeru, Namkumbusha Lowasa Asithubutu tena kushindana na Mungu kwa kumzunguka eti kupitia makanisani
Mungu yu pamoja nao wote wenye haki kama alivyoamua kule arumeru, Namkumbusha Lowasa Asithubutu tena kushindana na Mungu kwa kumzunguka eti kupitia makanisani
NAPITA JF-Expert Member Apr 2, 2012 5,076 2,243 Apr 2, 2012 #9 Na bado watajiunga wengi ila mafisadi big nooooooooooooooo!!!
nashy JF-Expert Member Jan 13, 2011 679 141 Apr 2, 2012 #10 nadhani ccm sasa wachukue chao mapema waondoke nchi si mali yao tena
Sangarara JF-Expert Member Sep 29, 2011 13,100 5,649 Apr 2, 2012 #13 Anayejua kumbi kumbi aifuatilie CHADEMA inaibuka kama kumbi kumbi
U uwemba1 JF-Expert Member Apr 2, 2012 987 716 Apr 2, 2012 #14 We should b xtra careful with mamluki kama KiBUda
HISIA KALI JF-Expert Member Oct 26, 2010 694 108 Apr 2, 2012 #15 Nadhani chadema inataka wapiga kura sio wanachama. Mwisho hakuna kuangalia kwamba mpiga kura ni mwanancha wa chadema au la.
Nadhani chadema inataka wapiga kura sio wanachama. Mwisho hakuna kuangalia kwamba mpiga kura ni mwanancha wa chadema au la.
Gagurito JF-Expert Member Feb 11, 2011 5,600 804 Apr 2, 2012 #17 Mamluki wasipewe nafasi coz Magamba kwa perepereperepeeee hawajambo!
M Mrdash1 JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,375 336 Apr 2, 2012 #18 Hakyanani!! CCM itakuwa chama cha upinzani kabla ya 2015
M maswenga Member Nov 10, 2007 69 30 Apr 2, 2012 #19 Good news! Onesheni ukomavu wa kisiasa wana Nachingwea.
democratic JF-Expert Member Nov 21, 2011 1,642 295 Apr 2, 2012 #20 aluta continua...........................