Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 88
Mtu mmoja alimwomba Padri amfanyie misa ya maziko ya mbwa wake. Padri akasema hawafanyi misa za namna hiyo, jaribu kwingine. Jamaa: Je, wapi wanafanya hizo misa maana nina sh. million 1 ya sadaka. Padri akadakia "wewe hukusema kama mbwa wako alikuwa mkristo! Nitamfanyia tu, hamna shida!!