Acha fiksi !
Magrin-magrin! Unajiongelesha eti?
Hadhira ikuone janajike la shoka! Huna jeuri ya kutema Haluwa wewe!
Usije nchokoza nikakusafiria kwa Bibi Kondoa Irangi na ukaletwa kwenye chungu.
..eeeh yamekua hayoo....We nawe kigeugeu.
..wateule hao..pale ..Jay moe..kati Mchizi Mox..mwingine nani vilee...?Pouwaaaaaaaaaaaa........!
Masela vipi mamboooooooo
Umenikumbusha mdogo wangu alikuwaga mdogo lkn alikuwa anaupenda huu wimbo balaaa...
Mie sijambo shem langu la ukweli
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mambo ni poa sana..niaaje?
bado natibia ngeu niliyoipata kweye maandamano ya gesi ntwara,njoo basi uniuguze ex wangu Mamndenyi!
...shwari mkuu,...wanasemaje hukoooo...wako pouwaaaaaa....aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mambo ni poa sana..niaaje?
aaaaah....mumeo VD ameona hii?
ha ha ha haaa
kweli pesa inatafutwa kwa shida
nishataka ninunue ile gari yako nzuri
ili upate hela ya kumhonga The secretary,
Jiuguze na hao wanaokula hela yako.