S sammie Member May 11, 2010 15 0 May 11, 2010 #1 Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 May 12, 2010 #3 sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... Mkuu si ungeenda kwenye Jukwaa la Utambulisho!
sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... Mkuu si ungeenda kwenye Jukwaa la Utambulisho!
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 12, 2010 #4 au unatutania ndugu yetu...karibu sana lakini
S sammie Member May 11, 2010 15 0 May 12, 2010 Thread starter #5 Sina utani au mnataka muone mavitu yangu? :hug:
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 May 12, 2010 #6 sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... POMOKO sana!
sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... POMOKO sana!
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 May 12, 2010 #7 Karibu ila naoana umeingilia mlango wa uwani manake umeamua kupitia kwenye utani na udaku. Si mbaya sana ni ugeni tu. Karibu!
Karibu ila naoana umeingilia mlango wa uwani manake umeamua kupitia kwenye utani na udaku. Si mbaya sana ni ugeni tu. Karibu!
Kaka Sam JF-Expert Member Jul 29, 2009 540 78 May 13, 2010 #8 sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... oooi, ooi, PAMOKO sana tuu, krb sana, ila ulipoigilia sio penyewe.
sammie said: Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu. Click to expand... oooi, ooi, PAMOKO sana tuu, krb sana, ila ulipoigilia sio penyewe.