Wao CCM watakuwa hawayaoni kuwa "yameharibika sana". Tafsiri yao ya "kuharibika sana" inaweza kuwa ni tofauti sana na unavyo fikiri wewe na sisi sote.Hakika utabiri wa JK, utakuwa umeanza kutimia😳
Alitamka kuwa mambo yakiharibika sana, CCM haitamteua Sa"100 kuwa mgombea wake.
Hii ni October 2024, bado mwaka mmoja tuingie Kwenye uchaguzi Mkuu, mambo yameelekea yameharibika sana ................
Kutekana kiholela, kama ilivyotokea Kwa Aly Kibao na baadaye mwili wake kukutwa amekufa............
Hiyo ni dalili mambo yameharibika Sanaa😳
Kutekwa Kwa akina Soka, hivi sasa ni zaidi ya siku 50, bado hawajukikani walipo
Mambo yameharibika Sanaa😭
Itabidi CCM itafute mbadala wa Mama, kama alivyotabiri JK iwapo itataka ku-survive Kwenye uchaguzi wa mwakani🙏
Ni kutabiri sio kutabiliForeshadowing" kwa lugha nyepesi ni uwezo wa kutabili tukio lijalo.
Kwa mnaosubiri mpaka mambo yaharibike sana, endeleeni kusubiria, sisi wasoma trends, tumeisha zisomaSasa kwa hali ninavyoonekana kufika mwakani June 2025 mambo yatakuwa yameharibika sana.
Huo ndio ukweli, Mama Samia atakuwa anaelekea 70s kwa Mwanamke ni umri wa kupumzika. Atakumbukwa kwa kazi aliyofanya kuliko kuendelea kung'ang'ania kwa kusema mitano tena. Wanamshawishi ni wale wananufaika na ufisadi wa mali ya umma kwenye Uongozi wake.Ni kutabiri sio kutabili
Kwa mnaosubiri mpaka mambo yaharibike sana, endeleeni kusubiria, sisi wasoma trends, tumeisha zisoma
trends kitambo na tukazieleza humu, ila inaelekea mpaka sasa taarifa HII itakuwa bado haijamfikia, ndio maana bado anaendelea kujiandaa kwa 2025 kama hivi Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!, muda muafaka ukifika, taarifa hiyo itamfikia na ataanza maandalizi
P
Iko Wapi?Kifasihi hii kauli ya mh
kikwete inaitwa" Foreshadowing" kwa lugha nyepesi ni uwezo wa kutabili tukio lijalo.
Sasa kwa hali ninavyoonekana kufika mwakani June 2025 mambo yatakuwa yameharibika sana. Rais mstafu kikwete aliweza kuforeshadowing. Ebu msikilize hapa.
Kwani DMDP ilianza lini?Kwa sisi wapenzi wa barabara na kununua magari,tukipita kijichi na ule mradi wa DMDP,Tunakili huko nyuma kama hii miradi ilikuepo basi hatujui mfano wa ulipofanyika.
Kasema wapi mbona hamsemi?Yaani hata mimi nilishangaa sana. Anamutabiria mwenyeketi wa ccm mambo kama hayo? alipata wapi ujasiri wa kutabiria mwenyekiti? Je anaposema mambo yawe yameharibika sana, ana maana ni mambo gani hayo? Ile ni dharau...mbona yeye marais wastaafu hawakumwambia vile. Haipendezi kabisa
Ukiwa boya wahuni wanacheza na wwBila shaka mkuu, ila kuna kundi ndani ya mfumo linalomwalibia mama.
Vipi ile sauti ya kuwa 2025 anaingia mwanamke?Ni kutabiri sio kutabili
Kwa mnaosubiri mpaka mambo yaharibike sana, endeleeni kusubiria, sisi wasoma trends, tumeisha zisoma
trends kitambo na tukazieleza humu, ila inaelekea mpaka sasa taarifa HII itakuwa bado haijamfikia, ndio maana bado anaendelea kujiandaa kwa 2025 kama hivi Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!, muda muafaka ukifika, taarifa hiyo itamfikia na ataanza maandalizi
P
Yes kwa mujibu wa utaratibu na kanuni ya mserereko ya CCM, mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi mkuu wa 2025 ni the incumbent president Samia, na kwa vile awamu hii ya kwanza ya Samia imekuja kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, hivyo sasa 2025 tuifanye ni zamu ya mwanamke ila mwanamke huyo sio lazima awe ni Samia tuu bali ni yule aliyepangiwa na YEYE, na nikatoa mwito Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!Vipi ile sauti ya kuwa 2025 anaingia mwanamke?
kweli wewe ni GabejiKifasihi hii kauli ya mh
kikwete inaitwa" Foreshadowing" kwa lugha nyepesi ni uwezo wa kutabili tukio lijalo.
Sasa kwa hali ninavyoonekana kufika mwakani June 2025 mambo yatakuwa yameharibika sana. Rais mstafu kikwete aliweza kuforeshadowing. Ebu msikilize hapa.
Angela Merkel alistaafu na miaka mingapi? Halafu huu ni ubaguzi wa kijinsia usio wa kisayansi, yaani sisi wanaume tuna nini wenginec kina Paul Biya hata kumbukumbu zinacheza na bado wako Ikulu ila mwanamke miaka 70 tuone shida? Mungu akimjalia uhai 2025 ni Mhe. Rais Samia tena. 🙏🙏🙏Huo ndio ukweli, Mama Samia atakuwa anaelekea 70s kwa Mwanamke ni umri wa kupumzika. Atakumbukwa kwa kazi aliyofanya kuliko kuendelea kung'ang'ania kwa kusema mitano tena. Wanamshawishi ni wale wananufaika na ufisadi wa mali ya umma kwenye Uongozi wake.
Hajayasoma maandishi ukutani.Bro why?