"Mambo yameharibika sana"2025

"Mambo yameharibika sana"2025

Angela Merkel alistaafu na miaka mingapi? Halafu huu ni ubaguzi wa kijinsia usio wa kisayansi, yaani sisi wanaume tuna nini wenginec kina Paul Biya hata kumbukumbu zinacheza na bado wako Ikulu ila mwanamke miaka 70 tuone shida? Mungu akimjalia uhai 2025 ni Mhe. Rais Samia tena. 🙏🙏🙏
Akalee wajukuu tu maana atakuwa amechoka hataweza mikikimikiki ya mbeleni katika Uongozi. Miaka ijayo Wazee wengi wa sasa hawakuwepo, vijana ndio watakuwa wengi hawatavumilia mawazo ya kizamani katika Uongozi. Hivyo kuendelea na huu usanii wa kisiasa wa sasa itakuwa ngumu sana Mtu wa aina hiyo kuwaongoza vijana mbeleni. CCM hawawezi kufanya kosa hilo, watamshauri tu Mama Samia apumzike.
 
Yes kwa mujibu wa utaratibu na kanuni ya mserereko ya CCM, mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi mkuu wa 2025 ni the incumbent president Samia, na kwa vile awamu hii ya kwanza ya Samia imekuja kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, hivyo sasa 2025 tuifanye ni zamu ya mwanamke ila mwanamke huyo sio lazima awe ni Samia tuu bali ni yule aliyepangiwa na YEYE, na nikatoa mwito Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
P

Ngumu kukuelewa kwenye hili
 
Kama kama, wachawi na wanga wameamka na mama Samia, The Mother of Modern Tanzania. Giza halijawahi kuishinda nuru.......yupo saaaana!!
 
Akalee wajukuu tu maana atakuwa amechoka hataweza mikikimikiki ya mbeleni katika Uongozi. Miaka ijayo Wazee wengi wa sasa hawakuwepo, vijana ndio watakuwa wengi hawatavumilia mawazo ya kizamani katika Uongozi. Hivyo kuendelea na huu usanii wa kisiasa wa sasa itakuwa ngumu sana Mtu wa aina hiyo kuwaongoza vijana mbeleni. CCM hawawezi kufanya kosa hilo, watamshauri tu Mama Samia apumzike.
Hoja ni nini? Dk. Samia au age? Kama ni age Mhe. Dk. Samia bado yupo yupo sana. Let's be scientific; nimeuliza Merkel aligonga na ngapi? Paul Biya ana miaka mingapi? Au shida ni gender? Trump ana mingapi mbona huko kwa mabwanyenye wanamuelewa hadi Gen Z? CCM ina utaratibu wake. Ni Dk Samia tena.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom