Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 2,151
- 3,116
Kifasihi hii kauli ya mh
kikwete inaitwa" Foreshadowing" kwa lugha nyepesi ni uwezo wa kutabili tukio lijalo.
Sasa kwa hali ninavyoonekana kufika mwakani June 2025 mambo yatakuwa yameharibika sana. Rais mstafu kikwete aliweza kuforeshadowing. Ebu msikilize hapa.
kikwete inaitwa" Foreshadowing" kwa lugha nyepesi ni uwezo wa kutabili tukio lijalo.
Sasa kwa hali ninavyoonekana kufika mwakani June 2025 mambo yatakuwa yameharibika sana. Rais mstafu kikwete aliweza kuforeshadowing. Ebu msikilize hapa.