Mambo ya X

Hiyo ni ngumu kumeza kaka!

katika mazingira yetu ya kiafrika hiyo ni situation ngumu sana kuimeza, ingawa mara nyingi michango ya ma -x huwa ipo sana na inafanyikaga kwa siri sana na spouse wako hapati picha.

ila hiyo ya huyo jamaa ngumu sana kuimeza aisee, inataka busara itumike zaidi na sio feelings.
 
Hiyo ni ngumu kumeza kaka!

katika mazingira yetu ya kiafrika hiyo ni situation ngumu sana kuimeza, ingawa mara nyingi michango ya ma -x huwa ipo sana na inafanyikaga kwa siri sana na spouse wako hapati picha.

ila hiyo ya huyo jamaa ngumu sana kuimeza aisee, inataka busara itumike zaidi na sio feelings.
Sasa bora yupi? Anaetoa mchango wake hadharani au anaetoa kwa siri?
 
Huyo kaka atakuwa amechaga kwa masifa kwa kweli na wala si hiari na ukiangalia haraka haraka ni kama alitaka kumfanya huyo bw harusi ajisikie vibaya, haipendezi tena mbele ya umati wa watu wanaoelewa issue nzima.


very true...huyo jamaa lazma alitaka kum-embarass jamaa!
 
sweetlady?umeolewa?jibu swali la nyongeza nililouliza!au niliweke kwa upande wako ili upate hisia zake!x wa mmeo mtarajiwa kajitolea kumnunulia suti ya harusi mmeo mtarajiwa na honeymoney atawapeleka kwa gharama zake!UTAKUBALI UACHIWE KUMBUKUMBU YA AINA HIYO FOR THE REST OF YOUR LIFE?fikiri kabla ya kujibu

Binafsi sitataka,kwanza nitaona anatoa kwa show off,au ni dharau!amemuonaje mume wangu mtarajiwa khe! Kifupi singekubali,Period!
 
Wifi angalia usije ukasutwa manake hapa namzungumzia klorokwini ndie alienipa mchango wakati naolewa na kakako, na kakako nilishamsimulia kitambo hivyo umechelewa sana, hivi unataka kunivunjia ndoa au?..

kusutwa suna khaaa tulivyokuwa tunatafuta hela ya kujazia budget ya harusi kumbe wewe umepokea 3m umezitia kibindoni ndio maana siku ya harusi ulikuwa busy na simu kutoa taarifa jinsi mchango wake ulivyofanikisha harusi lol!
 
"X-boyfriend" , "x-girlfriend", "kula mzigo" : Hizi zote ni terminologies zinazohusiana na zinaa(Kujamiiana nje ya ndoa).

The seventh of the Ten Commandments, which God spoke in the long ago, "Thou shalt not commit adultery" Exodus 20:14. This has always been God's law. We are told in I John 3:4, that sin is the transgression of God's law, therefore, to commit adultery is to transgress God's law, and therefore, sin. Not only has God forbidden adultery, but the son of God himself said, "Whoso looketh on a woman to lust after her, hath committed adultery with her already in his heart" Matthew 5:28. If the adulterous thought is sin, surely the adulterous act is sin. The Holy Spirit through the inspired apostle has told us plainly that adultery is a sin. Peter described some sinners of his day as having "eyes full of adultery, that cannot cease from sin" II Peter 2:14. Paul warned the Corinthians to "flee fornication" I Corinthians 6:18.

We are living in an age where sin is portrayed as a mere illness of the body or mind; when sin is denied or laughed off, when sin is rationalized as merely doing one's own thing, or doing what comes naturally. But a belief in the Holy God and respect for the authority of his word demands that adultery be recognized and acknowledged for what it is . . . sin.
The seriousness of the sin of adultery can be seen in several ways. Under the law of Moses the penalty was death by stoning. (Deuteronomy 22:21 ff, John 8:4,5). Again, the only ground that God gave for divorcing one's mate was sexual immorality. He said, "Whosoever shall put away his wife, saving for the cause of fornication, causeth her to commit adultery. And whosoever marry her that is divorced, committeth adultery" Matthew 5:32. But the seriousness of adultery is seen most clearly in the eternal punishment of those who commit the sin. An impenitent adulterer cannot go to heaven. Ephesians 5:5 says: " "No whoremonger, no unclean person hath an inheritance in the Kingdom of Christ and of God." And in Colossians 3:6, we are told that because fornication, uncleanness, and inordinate affection, the wrath of God comes on the children of disobedience.
What is adultery? Technically there are differences in the original Biblical language as there is in the English between adultery and fornication, but as used in this brief study, adultery is illicit sexual intercourse between married or unmarried persons. God has graciously provided -for the sexual desires of men and women to be satisfied only in marriage and to engage in pre-marital, or extra-marital sex, before or outside of marriage is to sin in God's sight. It should be made clear, however, that the sin of adultery, as serious in God's sight, and as hateful as it -is to those who commit it, it is forgivable! The story of Jesus and the woman who was taken in adultery (John 8) shows that adultery may be forgiven when God's conditions of pardon are met.
When sexual immorality of all kinds surrounds us on every side, may all of us desire to be, and strive to be, pure in heart and life. Like Joseph, when tempted by Potiphar's wife, can say "How then can I do this great wickedness and sin against God?" Genesis 39:9.
 
Mwanaume anaejiamini wala hakatai huo mchango...shida iko wapi?? atakuolea vipi wakati mzigo utakula wewe eeeh?? tena for the rest of ur life..yeye anaamua kujitia hasara si maamuzi yake...!!!
hapa naungana na moyo, ila hajitii hasar ni katika kuweka tu mahusiano mazuri kati ya mtu na mtu usije ukamhesabu kuwa adui just because alikuwa x wa wife, na tena hata kama wako ofisi moja .... haitakuwa na haja ya kumsumbua wife kisa wako ofisi moja na x wake, unless unajua kuwa mkeo sio muaminifu ama humuamini ama hana msimamo!!
 
Niliposoma tittle 'MAMBO YA X' nikajua unazungumzia 'PILAU'. Duh, kumbe tofauti.
 
"X-boyfriend" , "x-girlfriend", "kula mzigo" : Hizi zote ni terminologies zinazohusiana na zinaa(Kujamiiana nje ya ndoa).

The seventh of the Ten Commandments, which God spoke in the long ago, "Thou shalt not commit adultery" Exodus 20:14. This has always been God's law. We are told in I John 3:4, that sin is the transgression of God's law, therefore, to commit adultery is to transgress God's law, and therefore, sin. Not only has God forbidden adultery, but the son of God himself said, "Whoso looketh on a woman to lust after her, hath committed adultery with her already in his heart" Matthew 5:28. If the adulterous thought is sin, surely the adulterous act is sin. The Holy Spirit through the inspired apostle has told us plainly that adultery is a sin. Peter described some sinners of his day as having "eyes full of adultery, that cannot cease from sin" II Peter 2:14. Paul warned the Corinthians to "flee fornication" I Corinthians 6:18.

We are living in an age where sin is portrayed as a mere illness of the body or mind; when sin is denied or laughed off, when sin is rationalized as merely doing one's own thing, or doing what comes naturally. But a belief in the Holy God and respect for the authority of his word demands that adultery be recognized and acknowledged for what it is . . . sin.
The seriousness of the sin of adultery can be seen in several ways. Under the law of Moses the penalty was death by stoning. (Deuteronomy 22:21 ff, John 8:4,5). Again, the only ground that God gave for divorcing one's mate was sexual immorality. He said, "Whosoever shall put away his wife, saving for the cause of fornication, causeth her to commit adultery. And whosoever marry her that is divorced, committeth adultery" Matthew 5:32. But the seriousness of adultery is seen most clearly in the eternal punishment of those who commit the sin. An impenitent adulterer cannot go to heaven. Ephesians 5:5 says: " "No whoremonger, no unclean person hath an inheritance in the Kingdom of Christ and of God." And in Colossians 3:6, we are told that because fornication, uncleanness, and inordinate affection, the wrath of God comes on the children of disobedience.
What is adultery? Technically there are differences in the original Biblical language as there is in the English between adultery and fornication, but as used in this brief study, adultery is illicit sexual intercourse between married or unmarried persons. God has graciously provided -for the sexual desires of men and women to be satisfied only in marriage and to engage in pre-marital, or extra-marital sex, before or outside of marriage is to sin in God's sight. It should be made clear, however, that the sin of adultery, as serious in God's sight, and as hateful as it -is to those who commit it, it is forgivable! The story of Jesus and the woman who was taken in adultery (John 8) shows that adultery may be forgiven when God's conditions of pardon are met.
When sexual immorality of all kinds surrounds us on every side, may all of us desire to be, and strive to be, pure in heart and life. Like Joseph, when tempted by Potiphar's wife, can say "How then can I do this great wickedness and sin against God?" Genesis 39:9.
naomba mods wanisaidie kukupa likes kama 70 hivi kwa post hii!! ahsante umesema nami naongezea na hii

"what is good is good even no one is doing it, and what is wrong is wrong even if everyone is doing it"
 
very true...huyo jamaa lazma alitaka kum-embarass jamaa!

Na hapo ndipo ugonvi kama si mauaji(ya kutisha)yanapoanzia_na hasa kwa watu kama sisi tusiopenda madharau(embarassment)ya kijinga.
 
Na hapo ndipo ugonvi kama si mauaji(ya kutisha)yanapoanzia_na hasa kwa watu kama sisi tusiopenda madharau(embarassment)ya kijinga.

Mi naomba hiyo iwe imetokea TARIME uone huyo jamaa watakavyo mgecha!
 
nitaipokea na nitamwambia mwenzangu ....

tatizo liko wapi? kama ex kaja kujionesha imekula kwake yeye ni X tu!!!
mie ndo mmiliki, tena niliyelipa mahari halafu ambaye mwanamke kwa hiari yake kanikubali nimuoe....

napokea...........
 
Back
Top Bottom