gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
mie napokea tu, namshukuru na kukiwa na umuhimu wa kumuambia wife kuwa ex wake ametoa mchango huo haina shida namuambia...... issue ni TRUST between you two
watu sikuhizi wanajizatiti na ban!!! haya bwana SI.