CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Kama ni Tshs. basi naweza tumia masaa sita kuanzia 12jioni mpaka saa tano usiku baada ya kazi
This is illegal spending of mlalahoi, u have to be sued
Kama ni Tshs. basi naweza tumia masaa sita kuanzia 12jioni mpaka saa tano usiku baada ya kazi
Kanga moja kwenye folen za maji halafu zinatokea ndundi! Aaah mwisho ni mambo hadharani.
He he!
Kuna siku nilipita uswazi bwana, nikaomba kwenda kujisaidia.
Choo cha nje, kuingia shimo silioni.
Ikabidi niwaulize wenyeji vipi? Wakaniambia.."umeona hilo koleo pembeni?" nikaitika ndio.. "umeona na hilo pipa refu humo ndani?" nikajibu ndio..
Akasema "sasa, we jisaidie chini, ukimaliza chota kinyesi chako na hilo koleo halafu kirushie ndani ya pipa."
He he!
Kuna siku nilipita uswazi bwana, nikaomba kwenda kujisaidia.
Choo cha nje, kuingia shimo silioni.
Ikabidi niwaulize wenyeji vipi? Wakaniambia.."umeona hilo koleo pembeni?" nikaitika ndio.. "umeona na hilo pipa refu humo ndani?" nikajibu ndio..
Akasema "sasa, we jisaidie chini, ukimaliza chota kinyesi chako na hilo koleo halafu kirushie ndani ya pipa."
Hii ni mtwara ndanindani au hapahapa dsm??? maana
hapa hapa dsm mitaa fulani hivi. Ngoja niichunie jina isije ikawa wapo humu.
Uswazi ni kawaida sana kuona mtu anatoka na khanga moja kwenda dukani kwa Mangi
Jamani khanga ina hamasa zake kwa wapenda nao mtoto wa mboga saba akija uswazi aone mambo ya khanga moja lazima ataishia kujichafulia kwa suruali. Uswazi kuna raha zake jamani.
Umenikumbusha home!
Uswazi ni kawaida sana kuona mtu anatoka na khanga moja kwenda dukani kwa Mangi
Jamani khanga ina hamasa zake kwa wapenda nao mtoto wa mboga saba akija uswazi aone mambo ya khanga moja lazima ataishia kujichafulia kwa suruali. Uswazi kuna raha zake jamani.