Mambo ya uswazi

He he!
Kuna siku nilipita uswazi bwana, nikaomba kwenda kujisaidia.
Choo cha nje, kuingia shimo silioni.
Ikabidi niwaulize wenyeji vipi? Wakaniambia.."umeona hilo koleo pembeni?" nikaitika ndio.. "umeona na hilo pipa refu humo ndani?" nikajibu ndio..
Akasema "sasa, we jisaidie chini, ukimaliza chota kinyesi chako na hilo koleo halafu kirushie ndani ya pipa."
 
He he!
Kuna siku nilipita uswazi bwana, nikaomba kwenda kujisaidia.
Choo cha nje, kuingia shimo silioni.
Ikabidi niwaulize wenyeji vipi? Wakaniambia.."umeona hilo koleo pembeni?" nikaitika ndio.. "umeona na hilo pipa refu humo ndani?" nikajibu ndio..
Akasema "sasa, we jisaidie chini, ukimaliza chota kinyesi chako na hilo koleo halafu kirushie ndani ya pipa."

Ulikuwa umebanwa na mavi au mkojo?
 
He he!
Kuna siku nilipita uswazi bwana, nikaomba kwenda kujisaidia.
Choo cha nje, kuingia shimo silioni.
Ikabidi niwaulize wenyeji vipi? Wakaniambia.."umeona hilo koleo pembeni?" nikaitika ndio.. "umeona na hilo pipa refu humo ndani?" nikajibu ndio..
Akasema "sasa, we jisaidie chini, ukimaliza chota kinyesi chako na hilo koleo halafu kirushie ndani ya pipa."

Hii ni mtwara ndanindani au hapahapa dsm??? maana
 
uswazi.jpg


Uswazi ni kawaida sana kuona mtu anatoka na khanga moja kwenda dukani kwa Mangi
Jamani khanga ina hamasa zake kwa wapenda nao mtoto wa mboga saba akija uswazi aone mambo ya khanga moja lazima ataishia kujichafulia kwa suruali. Uswazi kuna raha zake jamani.

Umenikumbusha home!
 
uswazi.jpg


Uswazi ni kawaida sana kuona mtu anatoka na khanga moja kwenda dukani kwa Mangi
Jamani khanga ina hamasa zake kwa wapenda nao mtoto wa mboga saba akija uswazi aone mambo ya khanga moja lazima ataishia kujichafulia kwa suruali. Uswazi kuna raha zake jamani.

unajua uswazi wanajiamini coz makanga yao mazito tofauti na huku wanakovaa nguo transparent (night dress)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom