Mambo ya Tano ya Jide ni kitu gani?

Mambo ya Tano ya Jide ni kitu gani?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,304
Ni kwaya ama ni nini? Jide my sista are u serious? Kwaya? Mwaka 2023?

It is high time now wakongwe wa bongo fleva waambiwe ukweli. 2023 is not 2003.

Mambo yamebadilika.

Something which was good in 2003 may not be good in 2023.

Jide unahitaji kufanya upya research yako. It is high time now wasanii wa bongo muanze kuajiri " Music analysts " wazifanyie analysis nyimbo zenu kabla hazijatoka.

Music is arithmetic.
Music is science and there is no miracle in science...

Yericko Nyerere Anza kutoa semina za ujasusi kwa wasanii wa Tz ili wawe wanazifanyia nyimbo zao ujasusi kabla ya kuzitoa.

# mambo ya tano = mambo matano.
 
Wasanii wetu wanaenda kimazoea sana,hiyo ngoma ya kawaida wala haishtui!
Sijui wasanii wetu wanakwama wapi,jide kwenye huu wimbo yuko below average.kwamba ni umri unemtupa si kweli maana huko duniani kuna watu wanavuma miaka na miaka,mfano Kylie Minogue alivuma miaka ya 2000 huko,ila sasa karudi kama humjui unaweza jua ni msanii mpya.Ukisikiliza Padam na Tension unaona kabisa hapa kuna uwekezaji mkubwa.
 
Wasanii wetu wanaenda kimazoea sana,hiyo ngoma ya kawaida wala haishtui!
Sijui wasanii wetu wanakwama wapi,jide kwenye huu wimbo yuko below average.kwamba ni umri unemtupa si kweli maana huko duniani kuna watu wanavuma miaka na miaka,mfano Kylie Minogue alivuma miaka ya 2000 huko,ila sasa karudi kama humjui unaweza jua ni msanii mpya.Ukisikiliza Padam na Tension unaona kabisa hapa kuna uwekezaji mkubwa.
Sahihi kabisa. Jide amechemka vibaya sana
 
Back
Top Bottom