Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Ni mhamiaji toka bariadiNgoja kuna jamaa nimwambie umeingilia fani za watu tuone kama leo utalala
kampuni za ulinzi zinapokutana uso kwa uso
Mara ya mwisho kuwaona fisi niliwaona katika zile kampeni za CCM mwaka jana.
Hii picha imenikumbusha mbali
Duu kumbe tumeingizwa chakaHii picha sio Sumbawanga ni huko Nigeria.....nilishawahi kuiona nairaland......
Hata ukitazama hayo maandishi kwenye ubavu wa hiyo gari hayawiani na gari yenyewe.......
Alafu hata hao waliopo ndani ya gari wanaonekana kumshangaa huyo fisi.....na huyo bwana.....
asante kwa picha mkuu.
Duu kumbe tumeingizwa chaka
Kuna baadhi ya watu wasipodanganya wanauguaKweli ndugu mlikuwa mmeshaelekea chaka.....sijui mtu anapata raha gani kusambaza uongo....!!
Kuna baadhi ya watu wasipodanganya wanaugua
Pengine na mtoa mada ni miongoni mwao.....