Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Yaani napalangana kuuza kangala na huku napiga kazi..
Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi.
Baada kujua kazi. Akabadilika akaanza kunichafua kwa mabosi. Asubuhi bosi akija anakuja amenuna. Ghafla nikaanza kuchukiwa.
Juzi nimeshangaa napewa barua ya uhamisho niende kituo cha kazi vijijini kabisa ambapo hata mishe nyingine huwezi kupiga.
Ingekuwa nipo karibu na sumbawanga ningeua mtu kwa radi
Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi.
Baada kujua kazi. Akabadilika akaanza kunichafua kwa mabosi. Asubuhi bosi akija anakuja amenuna. Ghafla nikaanza kuchukiwa.
Juzi nimeshangaa napewa barua ya uhamisho niende kituo cha kazi vijijini kabisa ambapo hata mishe nyingine huwezi kupiga.
Ingekuwa nipo karibu na sumbawanga ningeua mtu kwa radi