Sijaelewa chochoteTia neno kidogo!
Uko sahihi kabisa! hayo makundi mawili ya wachawi na hao manabii ni maji na mafuta taa hayawezi kuchanganywa pamoja kamwe.Ikitokea wapo pamoja kwa kazi moja ujue hilo ni igizo la kutengeneza tu.Chemistry ya wachawi jumlisha waganga wa kienyeji 100 na manabii jumlisha mitume 400... Jumla yao kuu 500.. Haiji kabisa hata kwa kutumia MAGAZIJUTO.... Hii colabo imekosa kabisa ushirikiano na featuring yake inaweza kuleta mvurugano mbaya kabisa
Ya Mungu hupewa Mungu na ya kaisari hupewa kaisari.... Hicho kigenge cha watu wazima 500 huwezi ukakiweka pamoja kifanye kazi ileile moja na kutegemea kupata matokeo chanya.....
Ila sisi wa kaskazini tuna vi element vya kujiona sisi ndio sisi wengine mafisi wakati kiuhalisia historia ya ukoloni imetubeba.Nijuavyo Kaskazini inajumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Tanga,Arusha na Manyara.
Hii zana kuwa Kaskazini ili/imetengwa,ilikuja tu kutoka kwa yule aliyoko Ubelgiji.
Chukua mifano ifuatayo:
Angela Kairuki....waziri wa Madini...Kilimanjaro.
Umi Mwali......Afya.....Tanga.
Ole Nasha.....nw Elimu,Arusha.
Agrey Mwanry....RC Tabora.
Wapo wakuu wa wilay
Regina Chonjo....Morogoro.
Kuna mmoja(Kesy),jina limepotea kidogo...yupo ama Mufinfindi au Mafinga nk.
Ni Mjaluo.Diwani,A. Msuya ni mpare?
Task force iliyoundwa kwa ajili ya mapambio ya sifa na jik nadhani karibia yote ni form four failuresUko sahihi kabisa! hayo makundi mawili ya wachawi na hao manabii ni maji na mafuta taa hayawezi kuchanganywa pamoja kamwe.Ikitokea wapo pamoja kwa kazi moja ujue hilo ni igizo la kutengeneza tu.
Mshana bwana, Kilimanjaro wakijazana ofisini sawa lakini kabila lingine likijazana kwy ofisi wanapiga kerere hooo ukabila sijui nn?Sawa,ila hiyo zana ya ukanda haipo,nijuavyo pia ni kuwa mawaziri hutegemea pia idadi ya wabunge katika mkoa au kanda husiki.
Kaskazini haikua na idadi ya wabunge wa CCM wa kutosha kupata idadi kubwa ya mawaziri,ila wapo watu wengi kwenya nafasi mbalimbali,mfano Adolf Mkenda ...katibu mkuu Maliasili na utalii....Balozi John Kijazi....katibu mkuu kiongozi....Ole Gabriel..katibu mkuu Mifugo.
Tuache kuukuza na kuuneza ukanda au ukabila kisa tu hujasikia jina la ukoo wenu ama linalofanania jamii yenu. Kaskazini haijawahi kuachwa nyuma.
Stupid thread ever!Home boi kaula... Walau kaskazini imeonwa... Imekumbukwa... Natamani kukumbukwe zaidi... Kuna faida nyingi kuliko hasara... Lazima kuwe na mizani... Uwiano ni muhimu... Gari inapolalia upande mmoja sababu ni nyingi
Tairi ni dogo
Upepo hautoshi ama kuna pancha
Spring imevunjika nk... Kaskazini kunaweza kuwa muarobaini wa gari kulalia upande
Kaskazini kuna weledi
Kaskazini kuna kujituma
Kaskazini kuna ukweli
Kaskazini kuna kuchapa kazi
Kaskazini kuna haki
Kaskazini kuna hofu ya Mungu
Kaskazini kuna washika dini
Kaskazini kuna misimamo isiyoyumba wala kuyumbishwa
Kaskazini kuna maono na tafakuri
kaskazini hakuna unafiki, uzandiki na porojo
Kaskazini hakuna mitume na manabii mia NNE waya wachawi na waganga wa kienyeji mia MOJA
Kaskazini hakuna wanaharakati huru wa kujitolea....
Mambo ya nyakati haya... Mpango mkakati... MAGAZIJUTO na ku balance sheet... Wanaharakati huru wameshaanza kugwaya... Wameshaona dalili... Shimo la Tewa linaweza kuwa sebuleni kwao na self container
Home boi akishika miiko ya kazi
Home boi akishika miiko ya ukoo
Home boi akishika miiko ya kikabila
Home boi akishika miiko ya mababu, mizimu, wazazi na wazee.... Nuru itarejea tena...
Hofu itaondoka
Kujiamini kutarejea
Masimango yatapungua
Ukatili utasitishwa
Kutishana kutapotea
Kutambiana kutakuwa historia
Ubabe utakuwa hadithi............
Mpare hadhulumu hivyo hayuko tayari kudhulumiwa
Mpare haibi hivyo hatapenda kuibiwa
Mpare ni mpenda haki... Hapa huwezi kumtoa kwenye reli...!!!!
Home boi kaula.... Tumeanza kuona PAMBAZUKO LA KIPENGA CHA MWISHO...!!
Alamsiki fundi Joni...!!!
Kuna mahali nimetaja ukabilaMshana bwana, Kilimanjaro wakijazana ofisini sawa lakini kabila lingine likijazana kwy ofisi wanapiga kerere hooo ukabila sijui nn?
I never asked or invited you to read it... So you are part of its stupidityStupid thread ever!
Halafu mkia gani huo mwisho hauna manyoyamshana huo mkia wa simba umekaa kama tamuu ya wadada.
Mpumbavu Kama wewe, unaingiaje kwenye mada za watu wenye akili?Umeleta majungu nimekujibu kimajungu kama ulivyokuja
Ungemkalia kimya tu, huyo ni mbumbumbu wa kutupwa hana analojuaNaomba nikueleweshe kwa weledi heshima na upole... Nilichoandika mimi hakiakisi hata chembe... Lakini kwakuwa tayari moyo wako umejaa hadaa ukanitafsiri kwa muktadha wa majungu... Hili ni kosa kubwa kwakuwa ulishindwa kujipa muda wa kusoma kwa utulivu ili uelewe na kutafakari ndio ujibu...
Nilichokiona kwako umetawaliwa na vurugu za kimaono ndio maana unatazama lakini huangaliii
Weweeee unaonaje!?Diwani,A. Msuya ni mpare?
swali lako laweza kuwa jb tosha!Diwani,A. Msuya ni mpare?
Kwanini unapenda kujiandalia majibu na kuona ndio uhalisia!? Una chuki binafsi na wachaga na wapare?