Mambo ya nyakati....

Mambo ya nyakati....

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,322
Reaction score
843,788
Home boi kaula... Walau kaskazini imeonwa... Imekumbukwa... Natamani kukumbukwe zaidi... Kuna faida nyingi kuliko hasara... Lazima kuwe na mizani... Uwiano ni muhimu... Gari inapolalia upande mmoja sababu ni nyingi
Tairi ni dogo
Upepo hautoshi ama kuna pancha
Spring imevunjika nk... Kaskazini kunaweza kuwa muarobaini wa gari kulalia upande
Kaskazini kuna weledi
Kaskazini kuna kujituma
Kaskazini kuna ukweli
Kaskazini kuna kuchapa kazi
Kaskazini kuna haki
Kaskazini kuna hofu ya Mungu
Kaskazini kuna washika dini
Kaskazini kuna misimamo isiyoyumba wala kuyumbishwa
Kaskazini kuna maono na tafakuri
kaskazini hakuna unafiki, uzandiki na porojo

Kaskazini hakuna mitume na manabii mia NNE waya wachawi na waganga wa kienyeji mia MOJA
Kaskazini hakuna wanaharakati huru wa kujitolea....
Mambo ya nyakati haya... Mpango mkakati... MAGAZIJUTO na ku balance sheet... Wanaharakati huru wameshaanza kugwaya... Wameshaona dalili... Shimo la Tewa linaweza kuwa sebuleni kwao na self container
Home boi akishika miiko ya kazi
Home boi akishika miiko ya ukoo
Home boi akishika miiko ya kikabila
Home boi akishika miiko ya mababu, mizimu, wazazi na wazee.... Nuru itarejea tena...

Hofu itaondoka
Kujiamini kutarejea
Masimango yatapungua
Ukatili utasitishwa
Kutishana kutapotea
Kutambiana kutakuwa historia
Ubabe utakuwa hadithi............

Mpare hadhulumu hivyo hayuko tayari kudhulumiwa
Mpare haibi hivyo hatapenda kuibiwa
Mpare ni mpenda haki... Hapa huwezi kumtoa kwenye reli...!!!!
Home boi kaula.... Tumeanza kuona PAMBAZUKO LA KIPENGA CHA MWISHO...!!

Alamsiki fundi Joni...!!!
 
Aiseeeeh

Homeboi kapewa post ip chief ?
Ngumu kumeza
Diwani,A. Msuya ni mpare?
Nani tena huyo!? Ole Sabaya, au?
.
Bundesarchiv_Bild_105-DOA0276%2C_Deutsch-Ostafrika%2C_Totenkult_der_Wapare.jpeg
 
...................Ngoja waje wepesi wanaokimbilia ukanda na ukabila bila facts wakushambulie hapa.sijaweza kung'amua codes but kilichoandikwa hapa ni sahihi sana kwa watu wanaotumia vichwa vyao sawa sawa hawawezi kubisha.
 
...................Ngoja waje wepesi wanaokimbilia ukanda na ukabila bila facts wakushambulie hapa.sijaweza kung'amua codes but kilichoandikwa hapa ni sahihi sana kwa watu wanaotumia vichwa vyao sawa sawa hawawezi kubisha.
 
Kwani William ole Nasha anatoka kusini?

Ummy mwalimu anatoka kanda ya kati?

Hivi kagera na mwaza na Mara zipo kusini au hata jiografia hamkusoma
 
Ni kweli Mkuu Mshana, ameanza na Hilo poyoyo Musiba limechezeshwa Sindimba
Chemistry ya wachawi jumlisha waganga wa kienyeji 100 na manabii jumlisha mitume 400... Jumla yao kuu 500.. Haiji kabisa hata kwa kutumia MAGAZIJUTO.... Hii colabo imekosa kabisa ushirikiano na featuring yake inaweza kuleta mvurugano mbaya kabisa
Ya Mungu hupewa Mungu na ya kaisari hupewa kaisari.... Hicho kigenge cha watu wazima 500 huwezi ukakiweka pamoja kifanye kazi ileile moja na kutegemea kupata matokeo chanya.....
 
Back
Top Bottom