kwanini hao watu wakiume waliokaribu hawasaidii kumbeba binti wa watu, mi nilidhani kukiwa na kazi inayohitaji nguvu mwenye misuli zaidi ndiye atakaejiitokeza kwanza kusaidia???
kwanini hao watu wakiume waliokaribu hawasaidii kumbeba binti wa watu, mi nilidhani kukiwa na kazi inayohitaji nguvu mwenye misuli zaidi ndiye atakaejiitokeza kwanza kusaidia???