Ataenda kukuchomesha, kuna mtu nili m connect sehemu, aliyoyafanya anabaki kulaumu. Watu wa hivyo wengi hawako serious. Wanajaribu utafiti tu.
Wee umekutana na matapeli, wataalamu wako maporini ndani ndani, sio mjini, poleeee.
Km uko serious njoo nikupelekee chimbooo,
Hili hata Elon Musk Huwa namsikia analisema sanaGETTING RICH IS AGAINST HUMAN NATURE!
... get unatural to get RICH!
Uchawi haupo
NimekuelewaaaaAtaenda kukuchomesha, kuna mtu nili m connect sehemu, aliyoyafanya anabaki kulaumu. Watu wa hivyo wengi hawako serious. Wanajaribu utafiti tu.
Aisee tuwaombee sana watoto wetu aloo. Tumawekeza pesa nyingi sana kuwasomesha halaf mshirikina mmoja kirahiiisi tu anakuja kumtomba na kumharibia mwelekeo wakeNawafahamu wachache, mmoja ni mteja wangu kwenye lodge yangu
Yeye Kila siku lazima aje alale na mwanamke mpya
Ndagu yake ni kuchukua nyota za Wanawake Kila anapolala nao
Watoto lazima wafunzwe kukataa, kama wazazi tunawapa hela za matumizi wawapo vyuoni na shuleni, kwanini waingie kwenye tamaa za kupokea fedha kwa watu wengineAisee tuwaombee sana watoto wetu aloo. Tumawekeza pesa nyingi sana kuwasomesha halaf mshirikina mmoja kirahiiisi tu anakuja kumtomba na kumharibia mwelekeo wake
Aisee tuwaombee sana watoto wetu aloo. Tumawekeza pesa nyingi sana kuwasomesha halaf mshirikina mmoja kirahiiisi tu anakuja kumtomba na kumharibia mwelekeo wake
Nimekuelewaaaa
Sawa sawaWatoto lazima wafunzwe kukataa, kama wazazi tunawapa hela za matumizi wawapo vyuoni na shuleni, kwanini waingie kwenye tamaa za kupokea fedha kwa watu wengine
Hakika MkuuSawa sawa
Parenting is for real a big challenge. One of the biggest leadership challenge. Kum mould mtoto akae vile umatamani ni kazi mnooo. Utaqeza huku chini ila akisha fika stage ya kuwa huru kuchagua daah!! Una bakimpole kabisaHakika Mkuu
Aisee tafuta hela kwa kutumia nguvu na maarifa uliyopewa huku kuambiwa ambiwa utakuja kuambiwa kupigwa miti kunasaidia kupata hela uchakatwe ubaki huna marinda huna hela.Salamu wakuu aisee before sijachukua steps nilisoma humu JF watu wengi wanasema utajiri wa ndagu haupo n story tu nikakaza fuvu nikasema wacha nijaribu nimekuta story zile zile zile tu aisee Unaambiwa hivi ukifika hapo hapo unaona vitu ila ukifika hakuna jipya unaanza kupigwa kalenda mara fanya hili mara fanya lile .
Aisee tafuta hela kwa kutumia nguvu na maarifa uliyopewa huku kuambiwa ambiwa utakuja kuambiwa kupigwa miti kunasaidia kupata hela uchakatwe ubaki huna marinda huna hela.
Mbona wewe hujaji connect? Hutaki kwenda Atlanta?Ataenda kukuchomesha, kuna mtu nili m connect sehemu, aliyoyafanya anabaki kulaumu. Watu wa hivyo wengi hawako serious. Wanajaribu utafiti tu.