Mambo ya mbagala


Inanoga sana!
 
ah haa haa haaaa..................huuuuuh,masikiiiiini,imenchekesha afu imensikitisha
 
hii ni mizaha na utani, biblia inasema hukumu imewekwa tayari kwa watu wenye mizaha,

acha hizo tabia zitakukosesha na Mungu aliyekuumba na kukufanya uangamie au ukose baraka zake wakti ukiwa hai duniani

aiseeeee,
 
Wengi wanaoingia Dar Live ni first timers wa club standard/quality ile! Daladala sia ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…