Namcheki Babu wa Loliondo kwenye taarifa ya habari TBC 1, na mmea huo wa utabibu wa magonjwa sugu unafanana na pareto.
Jamani sijui nijaribu kuchemsha maua ya pareto au sio wanajamvi?
maelezo gani? ina maana bosi kama anaumwa hawezi kwenda kujitibu? au auantaka magari yote ya serikali mpande wananchi wote hata kama haikuhusuGari mali ya Shirika la Umma ndani ya Loliondo, hatuna hakika hii gari ilikuwa na mahusiano gani na uwepo wake kule. Shirika linalomiliki hili gari linatakiwa kutoa maelezo. Pesa za walala hoi zinatumika kulihudumia hili gari lakini hiyo pesa haikupaswa kutumika kama inavyoonekana pichani. We need maelezo.
ule mti sio pareto bali mti mmoja ambao twiga wanapenda kule. Pareto ni sumu ucjaribu
Namcheki Babu wa Loliondo kwenye taarifa ya habari TBC 1, na mmea huo wa utabibu wa magonjwa sugu unafanana na pareto.
Jamani sijui nijaribu kuchemsha maua ya pareto au sio wanajamvi?
ule mti sio pareto bali mti mmoja ambao twiga wanapenda kule. Pareto ni sumu ucjaribu
kunywa pareto kwa afya yako....na pia ni kiburudisho
Eti babu kawekwa huko na edwaedi?? Nimesikia watu wakiteta kwenye kijiwe cha kahawa!
Mkuu.Huyu babu amenifanya nikumbuke maneno ya Mungu kuwa...' kiburi cha mwanadamu ni uzima', at the point of death kiburi chote cha mwanadamu kinayeyuka...Imagine watu wanaoinamiwa kwa heshima kede kede na wenye sauti za nguvu wote wamepewa amri ya kwenda kufoleni Loliondo na kibabu tu maskini bila kujali status ya yeyote (Aise Babu nakupongeza sana kwakutopenda ubaguzi) na wao bila hata kulazimishwa wakafuata amri ili tu wapate uzima. Sasa wahubiri tukisema kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni bwana utashangaa mtu kwa kiburi cha uzima atakufanyia analysis mpaka unakaa chini...Ukiona mtu anachallenge decision ya wengine ujue ndani kuna kakiburi cha uzima kanasumbua ndiyo maana anaweza nyanyua kifua na kujidai yeye ana akili kuliko wenzake....Tumshukuruni Mungu kwakutupa huo uzima tusidhani kuwa hao walioenda Loliondo wamemkosea sana Mungu ndo maana leo wanapiga magoti kwa Babu they are humbled by grace na tukumbuke kuwa hujafa hujaumbika...Ni wangapi mnawapigia mafisadi magoti kwakuogopa vitumbua vyenu kuingia mchanga seuse uzima?
Huyu babu amenifanya nikumbuke maneno ya Mungu kuwa...' kiburi cha mwanadamu ni uzima', at the point of death kiburi chote cha mwanadamu kinayeyuka...Imagine watu wanaoinamiwa kwa heshima kede kede na wenye sauti za nguvu wote wamepewa amri ya kwenda kufoleni Loliondo na kibabu tu maskini bila kujali status ya yeyote (Aise Babu nakupongeza sana kwakutopenda ubaguzi) na wao bila hata kulazimishwa wakafuata amri ili tu wapate uzima. Sasa wahubiri tukisema kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni bwana utashangaa mtu kwa kiburi cha uzima atakufanyia analysis mpaka unakaa chini...Ukiona mtu anachallenge decision ya wengine ujue ndani kuna kakiburi cha uzima kanasumbua ndiyo maana anaweza nyanyua kifua na kujidai yeye ana akili kuliko wenzake....Tumshukuruni Mungu kwakutupa huo uzima tusidhani kuwa hao walioenda Loliondo wamemkosea sana Mungu ndo maana leo wanapiga magoti kwa Babu they are humbled by grace na tukumbuke kuwa hujafa hujaumbika...Ni wangapi mnawapigia mafisadi magoti kwakuogopa vitumbua vyenu kuingia mchanga seuse uzima?
Yesu alitema mate kwenye udongo, akafanya tope na kumpaka kipofu, na mara akaona.
Je wewe waweza fanya hivyo na kipofu akaona?
Je kuna maelezo scientific ya kueleza tukio hilo?
Huyu mchungaji wanasema alioteshwa na Mungu dawa hii, sasa nyinyi mnataka scientific explanation! Fikiria dawa ni moja tu kwa magonjwa yote hayo! (haya kisayansi ni magonjwa tofauti kabisa - ukimwini virus, kisukari si virus wala bacteria, kansa hivyo hivyo nk.
Mti wenyewe siyo siri amewaonyesha watu wote, ila mtu mwingine akichemshahiyo dawa maji yanabaki meupe tu ila akichemsha mganga maji yanageuka rangi na kuwa kama chai - shangaa hapo!
Kuna testmony za watu waliotumia na kupona; muanzisha thread anasema mzee wake alikuwa na kisukari na sasa kapona kabisa na wako wengi wanaokiri hivyo katika thread hizi; mwataka nini zaidi? Asiyeamini asiende anayeamini aende.
Hata wakati wa Yesu wapo ambao hawakumwamini; hata wakati wa gharika kuu wapo wengi waliokaidi, na wakati wa sodoma na gomora hivyo hivyo na wa mwisho aligeuka nguzo ya chumvi! MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
kwani mtu ukichukua huo mti hautapona?i mean bila kumtumia babu
ina ugwadu ugwadu hivi....sio mbaya
Ahahahah!! Vijiweni kuna mambo.Eti babu kawekwa huko na edwaedi?? Nimesikia watu wakiteta kwenye kijiwe cha kahawa!
Preta naomba ukaninunulie spea za mbavu, yaani umevunja karibu zote, ila itabidi uagize orijino.