Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Mambo muhimu ya kuzingatia au kufanya unapokuwa unaishi nchini Marekani.
Epuka kuishi kwenye miji ya anasa na panga nyumba yenye gharama nafuu.
Miliki usafiri wako mwenyewe achana na kutegemea usafiri wa umma
Fanya kazi moja na tumia weekend yako kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki
Zingatia kufanya kazi na acha kubadili kazi mara kwa mara (wamarekani hawapendi kuzoea kazi ya sehemu moja ndomana kila mwaka wanafanyakazi wanakuwa ni wapya) ila kuna faida zake kudumu kwenye kazi muda mrefu.
Ishi au apply kwenye nyumba za serikali (nyumba za serekali uwa zina gharama nafuu ni vizuri kama unafamilia kubwa ukaomba kupatiwa nyumba ya serikali).
Zingatia sheria za nchi(unauwezo wa kufanya unachotaka kuishi unavyotaka ila isiwe kinyume na sheria)
Pendelea kutumia huduma zinazo tolewa na serikali kama vile: shule, usafiri, hospitali, bima, wi fi nk..
Omba kadi ya bure ya chakula kutoka serikaili (ikiwa huna kipato cha kukidhi mahitaji yako<serikali hutoa kadi ya kununua chakula bure).
Pendelea kujiunga kwenye mashirika mbali mbali yanaotoa misaada mbali mbali.(mashirika ni mengi yanayo shughuli matatizo ya watu nchini Marekani na wanatoa misaada mbali mbali kwa wanafamilia,mfano kuwapeleka watoto shule, kuwanunulia chakula, nguo nk...)
Nunua vitu vyenye gharama nafuu au ambavyo zimetumika (kuna maduka ambayo ununua vitu hapo na kuviuza hapo hapo ni vizuri kupendelea kununua bidhaa zako hapo kama vile meza, sofa, laptop nk..ila maduka haya yanatumia cash na sio ya public sana).
Hakikisha unamiliki kadi za maduka yote unayotembelea kununua bidhaa zako (maduka makubwa yanatoa kadi ya mteja,ukiwa na kadi yao ina maanisha wewe ni mteja wao na uwa wanapunguza bei kwa kila bidhaa utakayo nunua.mfano umenunua kitu $50 ila ikiwa una kadi utanunua mfano kwa $ 45)
Pendelea kunua vitu vya mkopo (Wamarekani ni watu wana amini sana vitu vya mkopo, mfano unataka kununua nymba, gari, kwa pesa kadhaa si vyema ukalipa yote ni bora ukope uwe unalipa kidogo kidogo kwa kila mwezi. Sio kutoa yote kwa mkupuo)
Kuwa mtu wa watu, mchangamfu, usijifanya kujua sana na usichokijua uliza.
NB: Tukutane next post. Unaweza kuchagia pia na unaruhusiwa kuuliza.
Epuka kuishi kwenye miji ya anasa na panga nyumba yenye gharama nafuu.
Miliki usafiri wako mwenyewe achana na kutegemea usafiri wa umma
Fanya kazi moja na tumia weekend yako kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki
Zingatia kufanya kazi na acha kubadili kazi mara kwa mara (wamarekani hawapendi kuzoea kazi ya sehemu moja ndomana kila mwaka wanafanyakazi wanakuwa ni wapya) ila kuna faida zake kudumu kwenye kazi muda mrefu.
Ishi au apply kwenye nyumba za serikali (nyumba za serekali uwa zina gharama nafuu ni vizuri kama unafamilia kubwa ukaomba kupatiwa nyumba ya serikali).
Zingatia sheria za nchi(unauwezo wa kufanya unachotaka kuishi unavyotaka ila isiwe kinyume na sheria)
Pendelea kutumia huduma zinazo tolewa na serikali kama vile: shule, usafiri, hospitali, bima, wi fi nk..
Omba kadi ya bure ya chakula kutoka serikaili (ikiwa huna kipato cha kukidhi mahitaji yako<serikali hutoa kadi ya kununua chakula bure).
Pendelea kujiunga kwenye mashirika mbali mbali yanaotoa misaada mbali mbali.(mashirika ni mengi yanayo shughuli matatizo ya watu nchini Marekani na wanatoa misaada mbali mbali kwa wanafamilia,mfano kuwapeleka watoto shule, kuwanunulia chakula, nguo nk...)
Nunua vitu vyenye gharama nafuu au ambavyo zimetumika (kuna maduka ambayo ununua vitu hapo na kuviuza hapo hapo ni vizuri kupendelea kununua bidhaa zako hapo kama vile meza, sofa, laptop nk..ila maduka haya yanatumia cash na sio ya public sana).
Hakikisha unamiliki kadi za maduka yote unayotembelea kununua bidhaa zako (maduka makubwa yanatoa kadi ya mteja,ukiwa na kadi yao ina maanisha wewe ni mteja wao na uwa wanapunguza bei kwa kila bidhaa utakayo nunua.mfano umenunua kitu $50 ila ikiwa una kadi utanunua mfano kwa $ 45)
Pendelea kunua vitu vya mkopo (Wamarekani ni watu wana amini sana vitu vya mkopo, mfano unataka kununua nymba, gari, kwa pesa kadhaa si vyema ukalipa yote ni bora ukope uwe unalipa kidogo kidogo kwa kila mwezi. Sio kutoa yote kwa mkupuo)
Kuwa mtu wa watu, mchangamfu, usijifanya kujua sana na usichokijua uliza.
NB: Tukutane next post. Unaweza kuchagia pia na unaruhusiwa kuuliza.