Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

NAOMBA USHAURI; NINA GX110 IMEKUJA NA RIM 16" NA MIMI NAKATA KUWEKA SPORT RIM 17" JE, ZINAWEZA KUNIONGEZEA FUEL CONSUMPTION, IMBALANCE, NK?
Naizungumzia hivi;
Tairi kubwa na ndogo under the same rim size and the same vehicle specifications.
Ukiweka tairi ndogo kuliko specifications za gari yako utakuwa unajila mafuta na pia itakudanganya distance na speed.
Mfano ukitembea km 100 inaweza kukwambia umetembea km 110.
Na ukiwa spidi ya 120km/h inaweza kukwambia upo spidi ya 130km/h.
Hivyo basi, tairi size inatakiwa kuzingatia specifications za gari.
 
Jaribu kuangalia maeneo yafuatayo;
1. Air cleaner ikichakaa husababisha ulaji mkubwa wa mafuta kwa kuwa kunakuwa na resistance ktk kuvuta hewa. ie hewa na mafuta huvutwa pamoja.
2. Plugs ie Kama kuna plug haichomi mafuta hupotea. angalia plugs kuanzia kwenye distributor
3. Silence position. Unapokuwa hujagusa xrator gari imepaki silence rpm inatakiwa kuwa chini ya 1.
4. Engine service ni muhimu kufanya ingine isiwe nzito kutokana na friction.
5. Mengineyo ni uchakavu wa engine n.k.
GARI YANGU AINA YA MARK II GX110 "BEAM 2000" INA MISS YA HATARI, FUNDI ENGINE KASHINDWA KAJA FUNDI WAYA NAE KACHEMKA, NOZZLE ZIPO POA, PUMP YA MAFUTA IPO POA, HAITOI MOSHI, PLUGS SINA HAKIKA NAZO SAAAANA, HAIWAKI CHECK ENGINE, NA ILIANZA GHAFLA TATIZO LINAWEZA KUWA NINI? NISAIDIENI WAJUZI Chacha Kisiri
 
Asante kwa elimu hapa nimepata nondo zaid ya zile ambao ningepata NIT na VETA.
Ubarikiwe mkuu mleta Uzi na wale wachangiaji wake ambao wamesaidia kujaza mada husika mpaka ikashiba.
 
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.

Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.

Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.

Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :

Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;

P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.

Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.

Angalia mfano wa picha hapo chini.
Tire-sizing.gif

Pia waweza tembelea

Thanx
 
Kama tairi za mbele ni size moja na tairi za nyuma ni size moja hapo hakuna tatizo hata kama tairi za mbele zina tofautiana na tairi nyuma.

Muhimu tairi za mbele ziwe size moja na pia tairi za nyuma ziwe saizi moja.
Basi matumizi ya vile vi spare tyres ni hatari sana vile
 
tires mileage zinatofautiana kutokana na aina na barabara. binafsi natumia kwa wastani wa km kati ya 40000 na 60000. tairi nnazotumia ni Yokohama geolander I/T-S. nadhan mdau alitaka kusema km 70,000 kwani tires kwa zile brand za maana kama bf Goodrich ndo average mileage zake
bei yake iko vipi mkuu?
 
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.

Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.

Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.

Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :

Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;

P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.

Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.

Angalia mfano wa picha hapo chini.
Tire-sizing.gif

Pia waweza tembelea

Kwa kuongezea mkuu kama watu wengine hawaja comment chini ukitaka kujua umri wa tyre kuna namba nne zipo kwenye tyre yani mfano zikiandikwa 2214 ina maana tyre hilo limetengenezwa week ya ishirini na mbili mwaka 2014

Kwa kawaida tyre linatakiwa likae miaka 4 hata kama halikutumika
 
MMH ZA KIBONGOOOO?? SIO HATA WAZUNGU WANASEMAGA "GET SITED au BE SITED"
mkuu hayo maneno yako sahihi, inategemea umetumia wpi katika sentensi.
kuna maneno ukiulizwa maana yake unashindwa kuielewa isipokuwa tu pale utakapo soma sentence mabayo hilo neno limetumika.
 
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.

Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.

Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.

Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :

Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;

P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.

Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.

Angalia mfano wa picha hapo chini.
Tire-sizing.gif

Pia waweza tembelea

Aisee imekaa poa sana hili somo lako..thanks in loads
 
Mileage sahihi za kufanya service kisayansi ni Km ngp especially ukitumia oil quality kama BP Oil? Coz inadaiwa 3,000km ni myth but haina scientific grounds....
Oil zipo mpaka kilomita 15,000 especially kwa lorry, sasa hizi gari ndogo kilomita 3,000 ndio mazoea ya wengi japo zipo za mpaka kilomita 7,000 na kuedelea..oil pekee haitoshi kutumia Filter nzuri na yenye kiwango ni muhimu sana...oil pia inategemea na gari lenyewe inatumika wapi kwa mfano mazingira ya joto,baridi, masafa marefu..pia mwaka wa gari iliyotengenezwa kwa mfank magari ya miaka kumi na tano nyuma kutengenezwa hutumia SAE 40...so service ya gari na kilomita za kumwaga oil zitategemea matumizi ya gari,eneo inalotumika,oil unayotumia,filter unayotumia na pia uzima wa engine na kadhalika
 
Back
Top Bottom