Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,143
- 7,403
Ha ha ha ha ha umenichekeshaTafuta fimbo ya muanzi au mpera akijifanya jeuri unatandika hadi anajua yeye ni mgeni tu hapo nyumbani
Ha ha ha ha ha umenichekeshaTafuta fimbo ya muanzi au mpera akijifanya jeuri unatandika hadi anajua yeye ni mgeni tu hapo nyumbani
Mbwa anahitaji mapenzi ucheze nae, umeogesheFafanua hapo mkuu maana umeniacha gizani.
Mkuu; unapotaka kufuga mbwa zingatia yafuatayo:Wasalaam wakuu,
Poleni na harakati za hapa na pale za kuikata keki ya Taifa ila nilikuwa na langu tatizo husika na kichwa cha habari hapo juu ningetamani kupata ya kiundani kuhusu swala hili.
Nawasilisha.
Pia asiwazingue kijinga hawatamuacha salama hata kama ndio mmiliki wao.kama ni ulinzi haswa tafuta kwanza aina ya Pitbull(sikumbuki kama waliisha ruhusiwa kuingia) au rottweiler
hakikisha wanakula wanashiiba nasema tena wanashiba
Mi sa hivi nnae rottweiler tuu. ku mix breed inawezekana lakini we unataka nini kikubwa? Sababu kumix kama hunatarget ya maana ni kujisumbua tu. Mi sipo dar nipo DomMkuu mm nina mbwa jike mama yake nilimnunua polisi kule Kurasini. Lkn akazaa ktk generation ya 2 hv ya mchanganyiko wa mbwa fulani hv kiuhalisia sijui ni breed gani, hvy kumzaa mbwa nilienae hapa kwangu kwa sasa. Hivyo hy si pure German shepherd. Nataka apandwe ikibidi na pure G. S au mbegu bora zaidi. Je kupandisha mbwa jike kwa mbwa hao ulionao inawezekana? Na je una mbwa aina gani? Na Dar hapa wapatikana wapi? Mimi nipo Chadibwa beach hk Kigamboni.
Ndo aina ya Breed inayoongoza kwa kushika mafunzo kikamilifuHiv hawa german sherphd unaweza ukawazoesha kwa wanafamilia??
Milligram 500 = Nusu Gram! Natumaini umemaanisha Gram 500 ambayo ni NUSU kilo.Kuhusu mbwa kula sana ni uongo mbwa anakula kiasi na sio sana. Mbwa mkubwa anakula mlg 500 chakula kilicho bora na kisafi, usiogope kusema mbwa anakula sana
Kweli nilikosea kuandika ni gram 500. Asante kwa kunirekebishaMilligram 500 = Nusu Gram! Natumaini umemaanisha Gram 500 ambayo ni NUSU kilo.
Kwa ambaye hajawahi kufuga kabisa sishauri haina hizo za Mbwa kabisa ni hatari kwake na family mara 10 aanze na Germany Shepherdkama ni ulinzi haswa tafuta kwanza aina ya Pitbull(sikumbuki kama waliisha ruhusiwa kuingia) au rottweiler
hakikisha wanakula wanashiiba nasema tena wanashiba
Malengo makuu hasa ni kuimarisha ulinzi wa hapa kwangu. Changamoto ya maeneo ya nyumba za beach ni kusumbuliwa na vibaka/wadokozi/wezi kwn kwa mtu anaeelekea beach njia kuu lazima apite ktk geti langu ss wamekuwa na tabia ya kuchungulia. Mwaka 2016 niliwahi ibiwa karibu kila kitu cha ndani, sio kwamba sikuwa na mbwa laa hasha. Walukuwepo mbwa wawili wasio na mikia na walikuwa mbwa wakorofi mnoooo nilinunua kampumi moja hv ya ulinzi. Bahati mbaya wale mbwa walinizoea mm tu, hivyo kuna siku sikuwepo na familia yangu ilitoka kidg mbwa wakabaki bandani tu. Wezi wakaiba ilikuwa mchana kabisaa. Ss nikawarejesha nilikowanunua na kurudishiwa pesa zangu kwa 75% ndo nikanunua German shephard ambaye nimempeleka shamba Mbande.Mi sa hivi nnae rottweiler tuu. ku mix breed inawezekana lakini we unataka nini kikubwa? Sababu kumix kama hunatarget ya maana ni kujisumbua tu. Mi sipo dar nipo Dom
hahahaha..ukimchapa mbwa lazma uwe muangalifu sana maana anaweza akakungataTafuta fimbo ya muanzi au mpera akijifanya jeuri unatandika hadi anajua yeye ni mgeni tu hapo nyumbani
Anamaanisha hao mbwa ni very expensive huwezi pata chini ya m2Mkuu mbona umenikoroga fafanua kidogo.
Samahani kuvamia mada ila mmi mgeni hum jf nifundisheni njisi kutumia nasumbuka sanaMkuu mbona umenikoroga fafanua kidogo.
Mbwa wa kienyeji ndo yukoje huyo?Utaratibu wa kufuga mbwa wa kienyeji ni huu
Tengeneza banda alaf chakula uwe unampa mara 1 tu kwa siku kiwe cha kutosha, Kama ni saa 4 usiku bas kila siku umpe chakula muda huohuo, mboga iwe nyama, au dagaa uchemshe tu bila kuweka chochote, zingatia kumbadilishia chakula
saa 06:00 hakikkisha umemrudhisha kwenye banda, zingatia usafi wa banda na kumuosha kwa dawa kila baada ya wiki 2
Hapo unatua na mbwa mzuri kwaajili ya ulinzi