Mambo ya kustaajabisha kuhusu viumbe hawa

fungi06

JF-Expert Member
Jul 1, 2020
632
854
1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu

2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto

main-qimg-e428a671237c18f26e01527daf762029.jpg


3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani

main-qimg-c6f9243e21a591e293cdf35ca7ac1afd.jpg


4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya

main-qimg-7eed947bb1e899dea4bfc1349c4b6c6e.jpg


5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka

main-qimg-b597845667670081ad6f0218e80e0791.jpg


6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
main-qimg-1f7fede61bbf446bc1b1c43df0c590d8.jpg


7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
main-qimg-47fa23fe5dde5972692aae9d528dcef5.png


8. Majina common duniani ni Mohamed

9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake

10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA

11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China

12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi

13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..

14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.

15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24

16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu

Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research

NO research no right to talk
 
1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu

2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto

View attachment 1603075

3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani

View attachment 1603077

4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya

View attachment 1603081

5. Temporary ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka

View attachment 1603083

6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho jaribu mwili wa binadamu
View attachment 1603084

7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
View attachment 1603086

8. Majina common duniani ni Mohamed

9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilidumbukia na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake

10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA

11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China

12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi

13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..

14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.

15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24

Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research

NO research no right to talk
Picha nzuri
 
hao namba nne ni jamii ya jellyfish??
Ndio, Jellyfish ndio kiumbe imortal hua hafi bila kuuawa. Lakini yupo pia kiumbe mwingine wengi hatumfahamu. Anapatikana kwenye Quantum realm, yani ni mdogo mdogo sana sana ainaitwa Tardigrade au Water bear. Huyu kiumbe nae hafi, yupo kila mahali unapopafaamu. Kwenye volcan,kwenye gas, kwenye moto,kwenye maji, kwenye matope angani nk nk. Yupo kila mahali na ndio kiumbe pekee anayeshikilia rekodinya kuweza kuhimili na kuishi maisha yoyote yale hatalishi.
1602939677725.png
 
Hapo kwenye strawberries umedanganya, mbegu za strawberry zinakaa vipi ardhini au ulimaanisha mizizi. Ujweli ni kua strawberry ndio tunda pekee ambalo mbegu huka nje ya tunda sio ndani ya tunda kaa embe,parachiichi,ndizi,Chunga nk nk
 
Hata uume pia ni sawa na fingernorint au ulimi vile vi mistari ni unia
 
Ndio, Jellyfish ndio kiumbe imortal hua hafi bila kuuawa. Lakini yupo pia kiumbe mwingine wengi hatumfahamu. Anapatikana kwenye Quantum realm, yani ni mdogo mdogo sana sana ainaitwa Tardigrade au Water bear. Huyu kiumbe nae hafi, yupo kila mahali unapopafaamu. Kwenye volcan,kwenye gas, kwenye moto,kwenye maji, kwenye matope angani nk nk. Yupo kila mahali na ndio kiumbe pekee anayeshikilia rekodinya kuweza kuhimili na kuishi maisha yoyote yale hatalishi.
View attachment 1603112
ooh asante kwa kunielewesha na kuniongezea maarifa
 
Ndio, Jellyfish ndio kiumbe imortal hua hafi bila kuuawa. Lakini yupo pia kiumbe mwingine wengi hatumfahamu. Anapatikana kwenye Quantum realm, yani ni mdogo mdogo sana sana ainaitwa Tardigrade au Water bear. Huyu kiumbe nae hafi, yupo kila mahali unapopafaamu. Kwenye volcan,kwenye gas, kwenye moto,kwenye maji, kwenye matope angani nk nk. Yupo kila mahali na ndio kiumbe pekee anayeshikilia rekodinya kuweza kuhimili na kuishi maisha yoyote yale hatalishi.
View attachment 1603112
Mbona kama kavaa koti alafu mbele kafungiwa camera?
 
Tulia urekebishe ieleweke, hebu soma namba 9 utoe ufafanuzi!!
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho jaribu mwili wa binadamu

😂😂😂😂 kisicho jaribu au haribu?? yan kuna mambo alikua na haraka nayo kama anatoa kichwa vile
 
Hapo kwenye strawberries umedanganya, mbegu za strawberry zinakaa vipi ardhini au ulimaanisha mizizi. Ujweli ni kua strawberry ndio tunda pekee ambalo mbegu huka nje ya tunda sio ndani ya tunda kaa embe,parachiichi,ndizi,Chunga nk nk
Ndio boss yani mbegu yake iko kwenye miziz
 
Back
Top Bottom