fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
1. Konokono (snail) anao uwezo wakulala miaka mitatu
2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto
3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani
4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya
5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
8. Majina common duniani ni Mohamed
9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake
10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA
11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China
12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi
13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..
14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.
15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24
16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu
Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research
NO research no right to talk
2. Polar bears wote duniani wanatumia mkono wa kushoto
3. Physical ni vigumu kwa nguruwe kuweza angalia angani
4. Hydra. Awa ndo viumbe pekee vya makini ambayo huwa avipotezi uhai. Uwa wana replace Seli zilizo kufa kwa kujitengenezea seli mpya
5. Tembo ndio mamalia pekee duniani asiye weza kuruka
6. Asali ndio chakula pekee duniani kisicho haribu mwili wa binadamu
7 strawberry ndio Tunda pekee duniani lenye mbegu ardhini ila sio kwenye tunda
8. Majina common duniani ni Mohamed
9. Bullet proof yakwanza vumbuliwa duniani ilivumbuliwa na muuza cheese mare kaniambia ambae alidunguliwa mara mbili naku poa akaanza a tengenezee bullet proof yake
10. Kwa Kiingereza manara yote duniani yameishia alfabeti iliyo anzIA
11. Mao wa China hajawai kubrash meno yake kipindi cha maisha yake
..naisi ata mate ajawai pewa na walimbwende wa China
12. Msuli imara mwilini ni wa ulimi
13. Kamwe binadamu huwezi jiuwa kwa kujiziba pumzi..
14. Kama ilivyo kwa fingerprint. Vivyo hivo ilivyo kwa ulimi. Kila binadamu anayo unique print yake kwenye ulimi.
15. Kikawaida, binadamu wa kawaida hulala miaka 24
16. Kobe ndio mnyama pekee ambae akichoka pumua kwa mdomo anapumulia mkundu
Karibu tujuze unachokijua ambacho kimefanyiwa research
NO research no right to talk