Hawa watu ni wapenda sifa balaaWakati wa Mwalimu Nyerere hatukusikia wala kuona hivi vituko vinavyotokea siku hizi,hata alipokuja Ali Hassani Mwinyi, Mkapa na yalianza kuchomoza kidogo wakati wa Kikwete na yamekuwa na kukuzwa kupita mipaka kwa Hayati Magufuli na sasa ndio usiseme Raisi Samia akikohoa utaona kwenye vyombo vya habari amekohoa kwa mbwembwe ,yaani sasa ni kusifia kwa kwenda mbele.
Hii tabia inawafanya hawa wachaguliwa kujiona wamekamilika na wanaweza kufanya wanalo taka kama tuonavyo,wakati wake Mzee Julius Nyerere ulikuwa huoni mihemko ya kusifiwa sifiwa, sijui kajenga hili kafanya lile mangapi ameyafanya katika nchi hii ? Leo mtu akifungua choo basi makelele nchi nzima.
Inakuwa ile hadithi ya mfalme,tuacheni ujinga huu,mimi naona ni ujinga ,ushamba na kutokujielewa tunafanya nini na tunakwenda wapi, hii haina tofauti na ile tabia ijulikanayo siku hizi ya kujipitisha, wanaosifu wanasifu kila kitu alimradi na wao waonekane mwisho mtakuja kusifia ujinga.
Hakuna lolote zaidi ya kupiga pesa za wananchiKishindo Cha awamu ya tano ya dokta John Joseph Pombe maghufuli.
Tunawasikiliza.
Rais ametuletea maji as if hawalipi Kodi.
Rais tujengee barabara.
Tutampata rais Kama huyu?
AMETENDA MIUJIZA GANI ?WATOTO WAKO 200 KWENYE CHUMBA KIMOJA SHULE YA MBEZI STENDI KUU NA JOTO HILI LA DAR.
Mazuri yafuatwe na mabaya yaachwe, Haya mambo ya sifa sifa ni kumdanganya unayemsifia ili akupe kitu unachotaka !! Nimeshawasikia watu wengi tu tangu zamani wanaambizana ukitaka kitu kwa yule Fulani wewe msifu tu utapata kila ukitakacho !! Hapo utaona kwamba watu wakikusifu ujue wanataka kitu kutoka kwako !!Muasisi wa aya mambo yuko futi sita chini anasikiliza kwa mbali. Kilichojengeka sasa ni kusifia na kujipendekeza ili uendelee kula keki ya taifa
CCM baada ya kuona wamechemka kumchagua Kikwete wakaanza propaganda hii ya kusifu na kuabudu watawala wao ili kufuta legacy za mazuri yaliyotendwa na viongozi waliopita,haka kamchezo kanaendelea kukomaa na mwisho wa yote watazidi kuliumiza taifa kwa huu utaratibu.Wakati wa Mwalimu Nyerere hatukusikia wala kuona hivi vituko vinavyotokea siku hizi,hata alipokuja Ali Hassani Mwinyi, Mkapa na yalianza kuchomoza kidogo wakati wa Kikwete na yamekuwa na kukuzwa kupita mipaka kwa Hayati Magufuli na sasa ndio usiseme Raisi Samia akikohoa utaona kwenye vyombo vya habari amekohoa kwa mbwembwe, yaani sasa ni kusifia kwa kwenda mbele.
Hii tabia inawafanya hawa wachaguliwa kujiona wamekamilika na wanaweza kufanya wanalo taka kama tuonavyo, wakati wake Mzee Julius Nyerere ulikuwa huoni mihemko ya kusifiwa sifiwa, sijui kajenga hili kafanya lile mangapi ameyafanya katika nchi hii? Leo mtu akifungua choo basi makelele nchi nzima.
Inakuwa ile hadithi ya mfalme, tuacheni ujinga huu,mimi naona ni ujinga ,ushamba na kutokujielewa tunafanya nini na tunakwenda wapi, hii haina tofauti na ile tabia ijulikanayo siku hizi ya kujipitisha, wanaosifu wanasifu kila kitu alimradi na wao waonekane mwisho mtakuja kusifia ujinga.
Unapoona hivyo usidhani kuwa wanamsifu Rais bali wanatangaza kile ambacho wametekeleza kwenye ilani ya chama chao chini ya Rais aliyeko madarakani. Wakati wa Nyerere hiki kitu hakikuwepo kwa sababu ilikuwa ni enzi ya chama kimoja.Wakati wa Mwalimu Nyerere hatukusikia wala kuona hivi vituko vinavyotokea siku hizi,hata alipokuja Ali Hassani Mwinyi, Mkapa na yalianza kuchomoza kidogo wakati wa Kikwete na yamekuwa na kukuzwa kupita mipaka kwa Hayati Magufuli na sasa ndio usiseme Raisi Samia akikohoa utaona kwenye vyombo vya habari amekohoa kwa mbwembwe, yaani sasa ni kusifia kwa kwenda mbele.
Hii tabia inawafanya hawa wachaguliwa kujiona wamekamilika na wanaweza kufanya wanalo taka kama tuonavyo, wakati wake Mzee Julius Nyerere ulikuwa huoni mihemko ya kusifiwa sifiwa, sijui kajenga hili kafanya lile mangapi ameyafanya katika nchi hii? Leo mtu akifungua choo basi makelele nchi nzima.
Inakuwa ile hadithi ya mfalme, tuacheni ujinga huu,mimi naona ni ujinga ,ushamba na kutokujielewa tunafanya nini na tunakwenda wapi, hii haina tofauti na ile tabia ijulikanayo siku hizi ya kujipitisha, wanaosifu wanasifu kila kitu alimradi na wao waonekane mwisho mtakuja kusifia ujinga.
Tanzania imejaa watu wenye sleeping brains ndio maana maviongozi ya CCM yanawafanyia mambo ya ajabu ajabu halafu wao wanakenua tu mimeno yaoWatz acheni kabisa kumsifia Rais Ili asilewe ni wajibu wake kutimiza majukumu yake na siyo hisani.
Watawala wa kiafrica haitakiwi kabisa kuwasifia ujisahau ulewa sifa. Sisi wananchi ndo tunawafanya watawala wanakuwa madikteta baada ya kunogewa sifa. Tuwasifie baada ya kutoka madarakani.
Rais wa nchi ni mtumishi wetu sisi Watanzania ndio tuliomuajiri kwa kura zetu, ndio tunaomlipa mshahara, kumlisha na kumvisha kupitia Kodi zetu.Wakati wa Mwalimu Nyerere hatukusikia wala kuona hivi vituko vinavyotokea siku hizi,hata alipokuja Ali Hassani Mwinyi, Mkapa na yalianza kuchomoza kidogo wakati wa Kikwete na yamekuwa na kukuzwa kupita mipaka kwa Hayati Magufuli na sasa ndio usiseme Raisi Samia akikohoa utaona kwenye vyombo vya habari amekohoa kwa mbwembwe, yaani sasa ni kusifia kwa kwenda mbele.
Hii tabia inawafanya hawa wachaguliwa kujiona wamekamilika na wanaweza kufanya wanalo taka kama tuonavyo, wakati wake Mzee Julius Nyerere ulikuwa huoni mihemko ya kusifiwa sifiwa, sijui kajenga hili kafanya lile mangapi ameyafanya katika nchi hii? Leo mtu akifungua choo basi makelele nchi nzima.
Inakuwa ile hadithi ya mfalme, tuacheni ujinga huu,mimi naona ni ujinga ,ushamba na kutokujielewa tunafanya nini na tunakwenda wapi, hii haina tofauti na ile tabia ijulikanayo siku hizi ya kujipitisha, wanaosifu wanasifu kila kitu alimradi na wao waonekane mwisho mtakuja kusifia ujinga.
Rais wa nchi ni mtumishi wetu sisi Watanzania ndio tuliomuajiri kwa kura zetu, ndio tunaomlipa mshahara, kumlisha na kumvisha kupitia Kodi zetu.
Rais wetu ana pande mbili, kwa upande mmoja rais ni mtu taasisi, hana feelings wala hawezi kukosea, huyu ni mtukufu rais na pale Ikulu ni mahali patakatifu.
Kwa upande wa pili rais wetu ni binadamu, a human being, ameumbwa kwa nyama, ana hisia and has feelings and emotions na anasikia maumivu, anaumia or sometimes hata kulia.
The human part of her, akifanya vizuri, she needs appreciation, gratitude and encouragement. Hivyo kumsifu, kumpongeza, kumshangilia na kumfagilia ni poa tuu, Ila anapofanya vibaya, tumkosoe...
"Kati ya Wasifiaji wa Rais Wakiwemo Machawa na Wakosoaji wa Rais, Watu Critical, Nani Wanamsaidia zaidi Rais, Serikali Yake?
Wanabodi, Hii ni thread ya Swali, Kati ya wakosoaji wa Rais na serikali yake, yaani wale ma Critics na wasifiaji, wakiwemo praise singers na machawa, nani wanamsaidia zaidi Rais na serikali yake?. Kwa ukosoaji unaofanyika humu JF, Je sisi JF, tunamsaidia Rais na serikali yake au...www.jamiiforums.com
The same applies to Samia. Kwenye mazuri tusifu, yakitokea yakuhitaji ukosoaji, tukosoe kwa heshima, nidhamu na staha.
P