super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 540
Mtu akitaka kukopa anakuwa na adabu sana, akifika kwako atamsalimia hata paka wako, utasikia 'Huyu anaitwa nani?'. Ukimwambia anaitwa Nyau, utasikia 'Nyau hujambo? Una sura nzuri Nyau'
Mungu Ni Mwema
Mungu Ni Mwema
Kweliii mara, "oh ndani kwako mashaallah Ama kweli mambo si haba"