Mambo ya Kariakoo mtaa wa Congo

Mambo ya Kariakoo mtaa wa Congo

We uliyeanzisha thread ni kibaka unataka tupite na milioni zetu uneemeke,mtaa wa Congo vibaka hawawezi kuisha,labda useme wamepungua.Mwezi wa 5 mwakahuu nilipita mitaa ile nikiwa na laki 6 kwenye kibegi kidogo,lilifanyika jaribio la kutaka kuniibia but walishindwa coz teknic walioitumia niko aware nayo,ile ya mtu kukupiga kikumbo makusudi huku kakukanyaga mguu halafu mwingine anakuibia,so ningekuwa siijui ningekuwa nishalizwa

Nitake radhi kende mi ni kati ya watanzania wachache wazalendo na yawezekana tumebaki wazalendo wa kweli wawili tu mimi na warioba.
 
Last edited by a moderator:
Miaka michache iliyo pita ilikua ukikatiza mtaa wa kongo kariakoo lazma upate kampani ya kibaka ana kufatilia kwa nyuma but these days hata upite na milioni 5 hakuna mtu mwenye habari na wewe tena ukidondosha hata peni unafanya kutafutwa ili upewe peni yako hakuna tena vibaka mtaa ule.....pongezi kwa manispaa ya ilala kwa kusafisha vibaka mtaa wa kongo.
Huo mtaa hata sitaki mazoea nao kwamaana nimeshuhudia juzi mtu flani akipokonywa hela mbele yangu mchana kweupeee.
 
wamepanda steji ya pili ni matapeli tu wamejaa
 
Manispaa wasisikilize maneneo ya wanasiasa. Mji una taratibu zake, huwezi kufanya kila sehemu kuwa kama gulio. Ukifanya hivyo unadumaza akili za ujasiliamali, maana mtu anajua kuisi mjini ni rahisi tu pale ni kupanga kisado cha nyanya, soksi 20. mwigine bamia, mwingine....... alimradi vurugu tupu. Wateja tuna haki ya kufanya shughuli zetu kwa uhuru na usalama, itakuwa aibu ya karne kama wafanya biashara ndogondogo kurudi mitaa ya kariakoo. Hapa ndipo ntajua nchi hii imelaaniwa!!!!
 
Mbunge Idd Zungu anataka paendelee kuwa na vurugu
Gebwe sana yule. Hata kama ndio kutafuta kura sio kwa mtaji wa uhalifu. Nina uhakika hata yeye siku hizi anaenda huko akiwa na amani. Wao wamebaki kuongezeana posho huku wanawatumia wananchi masikini kuhalalisha misosi yao mwakani
 
Nitake radhi kende mi ni kati ya watanzania wachache wazalendo na yawezekana tumebaki wazalendo wa kweli wawili tu mimi na warioba.

teh teh kwani mzalendo hawezi kuwa kibaka?
 
Last edited by a moderator:
mwanzisha thread aliipata hiyo simu maeneo hayo..... tehe! hehe! Attract as many as possible.. mavuno street!
 
Kuna jamaa flani hivi alikombwa dukani kwake kila kitu hapo hapo mtaa wa congo
 
Hakuna kitu kama icho ni jana tu mchina kachukuliwa cm yake ma mwizi hakukamatwa kapita kama mshale

Wachina wanatabu na huo mtaa,nilishuhudia Mchina anakatwa mtama na jamaa wakampora huku wakimuita mwizi,ila watu wakawa wanashangaa Mchina mwizi!
 
Wachina wanatabu na huo mtaa,nilishuhudia Mchina anakatwa mtama na jamaa wakampora huku wakimuita mwizi,ila watu wakawa wanashangaa Mchina mwizi!

Nsskiaga ukienda kwao hao wachina ni wabaguzi sana eti.
 
Miaka michache iliyo pita ilikua ukikatiza mtaa wa kongo kariakoo lazma upate kampani ya kibaka ana kufatilia kwa nyuma but these days hata upite na milioni 5 hakuna mtu mwenye habari na wewe tena ukidondosha hata peni unafanya kutafutwa ili upewe peni yako hakuna tena vibaka mtaa ule.....pongezi kwa manispaa ya ilala kwa kusafisha vibaka mtaa wa kongo.

pako poa sana kila day city wanapiga patrol hapo hakuna machinga wala nini labda wewe tu Chinga One.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom