James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
- Thread starter
- #21
Alafu mnataka kupewa nchi, kwahio mtakua mnawafuata wazungu kuwasaidia kuongoza nchi?
Kwanza mimi sina chama chochote. Huyu Magufuli alivyochukua nchi mimi nilikuwa mtetezi wake mkubwa lakini alivyoanza kubadilika na mimi nikabadilka.
Kuhusu kuwatafuta wazungu wa kusaidia kuongoza, hilo waulize CCM. Zaidi ya nusu karne toka tupate uhuru karibu nusu ya bajeti yetu inategemea hao wazungu.