Kiambatanisho kimegoma ndo maana huoni picha
Kwenye red ni makosa ya kiuandishi. Ngoja ni hariri.
na yeye kabanwa na mambo fulani....ataweka picha akiachiwa...
umekurupuka!!next time jaza bundle la kutosha
Wabongo huwa hatukosi vijisababu.Hahahaha! Mambo ya network mkuu. hapa nilipo inazingua kichizi.
Tena mara kwa mara mkuu.Na wewe Ukiwa kama mbongo. Huwa unatoa vijisababu?
Hakuna cha tatizo hapo! Chezeiya bundle weye!You real are, a great thinker uligundua vp kama kifurushi kiliisha? Tehteh!
Kuna tatizo kidogo wakati wa ku upload