Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,353
Pumbav sana
Samahani eti ulichangia maafa ya Kagera?
Nilitaka kujua kama bado nikupe akaunti ya kutuma mchango wako
Saiv tunatuma kwa tigo pesa
Huku ni jukwaa la jokesJamani shule zifunguliwe tu maana Jf imevamiwa
Hayo ni mawazo yako tuu, na sio kila akisemacho trump ni sahihi na ni wajibu kufuatwa la hasha, vingine ni upuuzi tu kama wengine!!!Huku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress
"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Nimekupa mfanoHayo ni mawazo yako tuu, na sio kila akisemacho trump ni sahihi na ni wajibu kufuatwa la hasha, vingine ni upuuzi tu kama wengine!!!
Semester I inakaribia kwisha!Jamani shule zifunguliwe tu maana Jf imevamiwa
anaisoma namba huyo msamehe bureNimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
Neno moja unafoooka, inaonekana magu kakukaba kooni!!!Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
Mimi Niko sekta ambayo hata mkulu anatambua mchango wangu 100%Neno moja unafoooka, inaonekana magu kakukaba kooni!!!
Nice replyHuku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress
"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Ulichoshindwa kuelewa hata hii pia ni jokesHuku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress
"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Ulichoshindwa kuelewa hata hii pia ni jokes
Ndo hivo ukomee na ukomae, kujibu watu Mavi Mavi, fuyyyuuNeno moja unafoooka, inaonekana magu kakukaba kooni!!!
chana nae huyo, kaingiliwaNimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
Kachanganyikiwa hiyo kusikia debe la mahindi watu wana badilishana na mbuzi watatu, ukizingatia alijitia kukimbilia mjini kushangaa maghorofa, wakati wenzake kijijini walakula ndafu sasa.Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana