Mambo ya fedhaaa

Good Father

JF-Expert Member
Feb 28, 2014
10,272
18,334
Kuna jamaa alipewa shilingi 3987698237982...acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi T...safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbaya hujaiona.

----->> samahan kwakukuletea ujinga
Umezawadiwa hasira za ghafla
 
Jamani shule zifunguliwe tu maana Jf imevamiwa
Huku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress

"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
 
Dah umenishika kotekote
Rambirambi zangu kwenu nairudisha chattle kagera.
 
Huku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress

"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Hayo ni mawazo yako tuu, na sio kila akisemacho trump ni sahihi na ni wajibu kufuatwa la hasha, vingine ni upuuzi tu kama wengine!!!
 
Hayo ni mawazo yako tuu, na sio kila akisemacho trump ni sahihi na ni wajibu kufuatwa la hasha, vingine ni upuuzi tu kama wengine!!!
Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
 
Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
Neno moja unafoooka, inaonekana magu kakukaba kooni!!!
 
Huku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress

"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Nice reply
 
Huku ni jukwaa la jokes
Acha kufuata mkumbo wa komenti za jf
Alafu usidhani kila mtu ni mwanafunzi hapa.
Ukitaka usiriazi nenda majukwaa mengine mkuu hapa nimepost kwenye jokes, we can't be serious all the time, kuna wakati wa kucheka kuondoa stress

"Serious business doesn't mean we can not have some fun along the way" -------- by Donald Trump soma kitabu chake kina title "why we want you to be rich"
Robert kisoyaki & Donald Trump
Ulichoshindwa kuelewa hata hii pia ni jokes
 
Ulichoshindwa kuelewa hata hii pia ni jokes

Mwezi January mgumu naona
c66142be00bbde19b7be881ecf7312a1.jpg
 
Cja
Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
chana nae huyo, kaingiliwa
 
Nimekupa mfano
Sasa Mimi nawewe Nani empty minded? Mi nimepost kichekesho jukwaa la jokes we unajaa upepo
Fanya kazi kama unaisoma namba nakutakia usomaji mwema it seems uko stressed sana
Kachanganyikiwa hiyo kusikia debe la mahindi watu wana badilishana na mbuzi watatu, ukizingatia alijitia kukimbilia mjini kushangaa maghorofa, wakati wenzake kijijini walakula ndafu sasa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom