Kobello do u see any hope ahead kwa wakulima Wa Tanzania ambao budget ya kilimo ni ndogo na most of the budget ya kilimo ni expenditure ya kulipa mishahara na budget ya maendeleo ni ndogo na hata hio ndogo inaishia mikononi mwa mchwa. "Nimesoma na MTU ambaye alikuwa SUA sasaivi n MTU mkubwa rwanda" so wat? Kwanza kuna different models of development kuna DDM( developmental democratic model) ambayo ndo kama ya Tanzania na Kenya. Ambayo maendeleo yanakuja but yanachukua mda coz of blah blah nyingi. Kuna ingine inaitwa DM( developmental model) hii tukisema tunajenga mjini Wa kigamboni unajengwa na hela zinaenda Hamna maneno mengi sasa choose where u belong in those two. Hayo yakusema umesoma na MTU SUA Haisaidii hata Jana Lipumba kwenye RAIA mwema kasema alisoma na Donald kaberuka na alikuwa kichwa mbaya ndo MTU anayemkumbuka kwa akili. So hata wewe hiyo Wa SUA una weza ukawa admit kuwa ni kichwa balaa. Cheers
Kobello unajua kuna watanzania wangapi wanasoma Rwanda as we speak.. Kusema nchi ya jirani ni kitu cha kawaida, when u start showing off, that's a problem. Watanzania wengi wanasoma nchi za jirani. Hizo unazoziita funny models ndo Sina differentiate btn the developmental models used in Singapore and Malaysia
quite the opposite, tunafurahi kusomesha waafrika nchini kwetu na wao kurudi kutumikia nchi zao, we feel proud about that. Tatizo nililo nalo ni wewe kudai uchumi uliomsomesha kaberuka and company ni wa hovyo kuliko wa Rwanda hapo ndipo unachekesha.jMali hutaki waitumie hiyo education kwenye maendeleo ya Rwanda? Now kaberuka anaitumia education yake kwa maendeleo ya Afrika in general. Hujui hilo. Stop yo segregative tendencies
What is dimwit?? .... Is it some kind of Kigali slang? lolThe world has changed u can't enroll people to the university level for free.. And don't scare me abt wat u know coz u don know wat I know. Also u shouldn't compare two different populations with different demographics In education enrollemnent. During independence East African countries were equal in poverty lines but the Asian tigers are ahead only bcoz east Africans didn't have progressive economic plans. So wat else do u say DIMWIT
Ulimi hauna mfupa, unaweza kuongea na kuandika ulitakalo that is utter nonsense.
jMali unaona hawa jamaa, murutongore ndo MUKAMASIMBA wameibuka wote kwa wakati mmoja. Na huyu beth ndo wale wale. Yaani jamaa wana akili ndogo sana. Kweli Tanzania siyo size yao. Sasa wanapiga piga kelele hapa JF wanamdanganya kagame kuwa tunapiga propaganda kwa watanzania, kumbe ukichukulia asilimia ngapi ya wa tanzania hawaingii JF ni kiduchu sana. Hii wanamtapeli kagame wao. Anatoa pesa tu. Na congo sasa hivi ndo inakuwa ngumu zaidi. Eti jeshi la taadhali la rwanda liko Uganda kama wakivamiwa.....LOLWatanzania Dr slaa anawafaa.. Hamna blah blah ni kazi tu. Acheni maneno mengi kazini ndo msingi Wa maendeleo. Sio kama wengi wenu ni madalali tu( rent seeking economy). Hata viongozi wengi wanategemea udalali sio kufanya kazi ili walete maendeleo
The world has changed u can't enroll people to the university level for free.. And don't scare me abt wat u know coz u don know wat I know. Also u shouldn't compare two different populations with different demographics In education enrollemnent. During independence East African countries were equal in poverty lines but the Asian tigers are ahead only bcoz east Africans didn't have progressive economic plans. So wat else do u say DIMWIT
What is dimwit?? .... Is it some kind of Kigali slang? lol
Anyways wewe ni mwanamke na siyo vizuri kumtukana mwanaume directly hivyo, it's not cool.
Nirudi kwenye issues, huelewi ninachozungumza. Elimu kama mtanzania kwa wanyarwanda na warundi bila kuwa international students. Kwa mfano bila kujidai nimesoma States kama international student na nimesoma na wanyarwanda,wakenya, warusi, Jamaicans etc... this is not the same. We had students from Togo, Swaziland, Uganda, Zimbabwe, Madagascar etc na walikuwa wanalipa au tuna-exchange. Not Rwandans and Burundis.
Huwezi kutufundisha jinsi ya kuendelea na kutudharau. You are not all that, na sisi siyo watu wavivu kwani tuna chakula in excess. Watu walio na chakula excess ni wavivu?? Hatulishwi na WFP kama baadhi ya majirani.
How is Rwanda different from Tanzania? What demographic properties that affect enrollment and completion rate?
Halafu usikariri mambo ya Asian Tigers. Economic plan gani aliyonayo Singapore ambayo Tanzania hana?
Nilicheka alipouliza "How do you mean?" ... inawezekana ndiye Kagame mwenyewe, maana huwa anakuja twitter sometimes na kizungu chake.Mkuu eti huyo lady beth naye analipwa na kagame, ehehehhe, inaonekana kamaliza masomo juzi. Anaandika kama anajibu mtihani
Nilicheka alipouliza "How do you mean?" ... inawezekana ndiye Kagame mwenyewe, maana huwa anakuja twitter sometimes na kizungu chake.
Ahahahhahahahahhaha, duuuu, hii kali. Hata humu lazima atakuwepo tu.
RPF walisikilizwa???may be u dreaming, your genocidal gov mlinyukwa mbaya sana mkaishia kuua helpless and undefensive (washenzi wakubwa nyie),keep yapping na ------ wenzako humu lakini one at a time justice will be served...Rwanda is supper better sio kile kijiji cha wauuaji mlichoacha 94very good. sasa let's apply the same thing kwa RPF, madai ya RPF yalikuwa nini kama sio "kudai haki za watutsi"? Mbona wao walisikilizwa Arusha na makubaliano yakafikiwa kati yao na serikali ya Habyarimana iliyokuwa predominantly hutu?
Baada ya kupindua nchi kwa kisingizio cha kuzuia genocide kwa nini RPF walivunja hayo makubaliano? kiufupi ni kuwa ukabila waliolalamikia RPA wakati wakiwa waasi ndio huo huo wanaoufanya sasa na unalalamikiwa na FDLR, solution inakuwa mazungumzo kama ya Arusha, sio kudai kuwa hakuna ukabila!
Mfano: Waziri wa zamani wa Defence wa rwanda Emmanuel Habyarimana alifukuzwa kazi 2003 kwa kile serikali ya Rwanda ilichodai kuwa ni "pro-hutu views". hizo pro-hutu views ni zipi kama sio changamoto za ku-sustain uwongo wa kagame? Viongozi wengine wengi tu wa kihutu waliokuwa upande wa RPF cosmetically, nao pia baada ya kagame kushika hatamu sawa sawa wakafukuzwa kwa mambo hayo hayo ya "divisionism", "revisionism", "hutu views" na blah blah zingine ambazo zinalenga kuwafanya wahutu wasiseme kuwa wanaonewa.
Wahutu wa Rwanda hawahitaji FDLR wala yoyote awaambie kuwa wananyanyaswa, maisha wanayoishi tayari ni shule tosha. Wanachohitaji ni kuwe na democracy hilo tu.
suala hapa ni kuwa wanyarwanda wamesoma kwetu na people like huyo kaberuka na wengineo wanatumia elimu waliyoipata Tanzania huko Rwanda.
Nilicheka alipouliza "How do you mean?" ... inawezekana ndiye Kagame mwenyewe, maana huwa anakuja twitter sometimes na kizungu chake.
wabongo hao hao wanaotusapoti "sisi" FDLR au wabongo gani tena? Twagiramungu si anakunywa chai magogoni kila weekend umesahau?:A S wink:Kwetu my azz,rudi kwenu Rwanda acha kuchafua a good name Tanzania,Congo wameshawachoka na sumu zenu ila subirini siku wabongo wakishtukia sumu zenu utaomba bora ukamatwe na ISIS.
Basi sawa tufanye: hakukuwa na mazungumzo yoyote ya amani kati ya kagame na serikali ya habyarimana in 1994. Happy?RPF walisikilizwa???may be u dreaming, your genocidal gov mlinyukwa mbaya sana mkaishia kuua helpless and undefensive (washenzi wakubwa nyie),keep yapping na ------ wenzako humu lakini one at a time justice will be served...Rwanda is supper better sio kile kijiji cha wauuaji mlichoacha 94