Zee la madawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,728
- 4,075
Kanda ya ziwa ni moja ya kanda ya ajabu kuwahi kuwepo kwenye nchi hii leo humu jukwaani kuna mdau amelalamikiwa jinsi ambapo TFS kanda ya ziwa inavyowanyanyasa na kutowajali kwa mambo haya kanda ya ziwa ni kawaida sana aisee
Kanda ya ziwa ni kanda ambapo mauaji ya Albino na vikongwe yalishamiri kwa ajili ya ushirikina yaani katika kanda ambayo ushirikina umetamalaki ni kanda ya ziwa hilo la mauaji ya vikongwe na albino sina haja ya kulielezea hapa kila mtu anajua na anafahamu hii kanda ya ajabu sana yaani shinyanga,Simiyu,Mwanza na Geita mauaji ni kwao kawaida sana kulikuwepo na mauaji ya wazee wenye macho mekundu walikuwa wanawauawa bila sababu yoyote ile eti kwasababu yao ya ushirikina hii kanda hapana kwakweli
Kuhusu choo sina haja ya kuelezea hapa everybody know watu wa kanda ziwa wao kwa Choo ni mbingu na ardhi yaani unaweza kukutana mtu ana nyumba mzuri lakini hana choo yaani aisee
Ushirikina na uchawi kwa kanda ya ziwa kuanzia Mara,shinya, Mwanza Geita na simiyu ni kawaida yaani huku wanauabudu yaani watu wa kanda ya ziwa uchawi ni kama maji tu wanayakunywa Ndugu zangu wasukuma wao hawawezi kufanya vitu bila kuhusisha uchawi wao uchawi kwao ni kila kitu hawa watu aisee
Mauaji ndiyo usiseme aisee kanda ya Mara, shinyanga Mwanza Geita na simiyu pamoja na Kagera kwao mtu kumuua ni kawaida je ile kesi ya padri wa katoliki na wenzake kumuua asimwe sijui imefikia wapi naona kimya ziii sijui shida nini kila siku Mara watu wanauana kisa uchawi yaani taflani Sana yaani kanda ziwa ziwa ni taflani Sana
Kuhusu umasikini sisemi sana yaani huku umasikini ni pete na kidole yaani mtu ana ng'ombe wengi ila ni masikini wa kutupwa yaani ni kusosa maarifa jinsi ya kutumia ng'ombe kupata utajiri hapa wasukuma bwana aisee sina neno.
Kanda ya ziwa ni kanda ambapo mauaji ya Albino na vikongwe yalishamiri kwa ajili ya ushirikina yaani katika kanda ambayo ushirikina umetamalaki ni kanda ya ziwa hilo la mauaji ya vikongwe na albino sina haja ya kulielezea hapa kila mtu anajua na anafahamu hii kanda ya ajabu sana yaani shinyanga,Simiyu,Mwanza na Geita mauaji ni kwao kawaida sana kulikuwepo na mauaji ya wazee wenye macho mekundu walikuwa wanawauawa bila sababu yoyote ile eti kwasababu yao ya ushirikina hii kanda hapana kwakweli
Kuhusu choo sina haja ya kuelezea hapa everybody know watu wa kanda ziwa wao kwa Choo ni mbingu na ardhi yaani unaweza kukutana mtu ana nyumba mzuri lakini hana choo yaani aisee
Ushirikina na uchawi kwa kanda ya ziwa kuanzia Mara,shinya, Mwanza Geita na simiyu ni kawaida yaani huku wanauabudu yaani watu wa kanda ya ziwa uchawi ni kama maji tu wanayakunywa Ndugu zangu wasukuma wao hawawezi kufanya vitu bila kuhusisha uchawi wao uchawi kwao ni kila kitu hawa watu aisee
Mauaji ndiyo usiseme aisee kanda ya Mara, shinyanga Mwanza Geita na simiyu pamoja na Kagera kwao mtu kumuua ni kawaida je ile kesi ya padri wa katoliki na wenzake kumuua asimwe sijui imefikia wapi naona kimya ziii sijui shida nini kila siku Mara watu wanauana kisa uchawi yaani taflani Sana yaani kanda ziwa ziwa ni taflani Sana
Kuhusu umasikini sisemi sana yaani huku umasikini ni pete na kidole yaani mtu ana ng'ombe wengi ila ni masikini wa kutupwa yaani ni kusosa maarifa jinsi ya kutumia ng'ombe kupata utajiri hapa wasukuma bwana aisee sina neno.