Mambo ya ajabu niliyoshuhudia msibani

Mambo ya ajabu niliyoshuhudia msibani

Sio kweli, yule ni rafiki yetu wa karibu sana ndio maana tumekua naye mwanzo mwisho, alafu hata sio wa kishua ni kawaida sana. Nimaona kwakua ishu imetokea karibia na weekend isingeathiri sana ratiba zangu za masomo.
wewe mtu ana ku reject bado unaendelea kujipendekeza kama sio uchawa ni nini
 
Wababa mmesikia mnaojifanya mnauzungu mwingi. Bila shaka uyo rafiki yako atakuwa mwaka wa kwanza nadhani huko chuoni kwenu hamjasoma somo la ethics conduct hebu nipe namba ya uyo rafiki yako inbox nikamfundishe.
 
Waliwatenga sababu mmejua siri ya familia yao mpk huko Moshi
 
Wewe mleta mada ndio nakushangaa, tatizo lako umeishi kwa kukariri sasa umeona kitu tofauti unaona ni kosa, guu kwako ni ushamba, tembea maeneo tofauti uone mambo yanavyokwenda.

Suala la wahudhuriaji msibani kuwa wengi au wachache nalo kwangu halina maana, na zaidi hata hilo suala la kusema kwasababu walikuwa hawadhurii kanisani ndio maana wakakosa mchungaji sijui padre wa kuwazika nalo kwangu pia halina maana, hizo ni sheria za kanisa sio za Mungu, kama unaamini hizo sheria zina maana basi tuambie hapa Yesu alikuwa dhehebu gani?

Huyo mchungaji hawezi kumuondolea dhambi baba yake na rafikiyo hata kama akiendesha misa ya maziko, hilo walilofanya hao wachungaji sijui padre ni kuwahukumu hiyo familia ya rafiki yako wakati tumeambiwa tusihukumu tusije hukumiwa, hukumu ya haki iko mbinguni pekee.

Hao wachungaji wanajiona wako vizuri wakati nao siku ya mwisho wanaweza chomwa moto tu, kwani imeandikwa sio kila anaesema Bwana Bwana atauona ufalme wa Mungu, wachungaji/ mapadre kukataa kuzika ni siasa tu zimeingia makanisani, tumeona "wazito" wengi wanazikwa hata km walikuwa hawaendi makanisani.

Masuala ya kuzikwa na mchungaji, kuhudhuriwa mazishi yako na watu milioni mbili nk ni mbwembwe za ulimwenguni tu, haziisaidii chochote roho inayosubiri hukumu, tusidanganyike na vya ulimwengu huu.

Mwisho, huyo rafiki yako ana haki ya kumkataa huyo kaka yake kwasababu baba yake hakuwai kumwambia kama ana kaka, hilo sio kosa la binti ni kosa la mzazi baba, angempanga mapema huyo rafiki yenu hilo la kumkataa kaka yake lisingetokea.
Haijawahi kukutokea ndio maana unaongea utopolo ngoja ije ikutokee ndio utajua hujui
 
Nimesoma hapo umesema rafiki yako alikuwa na mchumba,

Vipi na mimi nikitaka huo uchumba kwako nafasi ipo?
 
Huyu ni muongo, tena mchonganishi
Oyaa ulilala msibani siku tatu, ukasafirisha mwili kisha ukazika. Huo muda ulitoa wapi wakati chuo masomo yanaendelea.
Mimi siwezi kaa siku tano bila kufika chuo, sanasana nikitoka Ijumaa usiku narudi Jumapili mchana.
 
duu. Hawa watoto wapo wengi sikuizi. tunawaita wa ushuani au wamagetin ukute anajua na kingereza utachoka
 
Kitu kama hii niliwah kuiona kwa watoto wa mum dogo,alkuwa na watoto wawili wa kike
 
halafu vijana wetu wakikataa kuowa mnawacheka....ooohh hawawezi kulea.....wazazi wake wameshindwa kumlea wakina budadi wataweza kweli......?????
 
Back
Top Bottom