Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 8,247
- 25,188
Wakuu, nawasalimu.
Leo naomba wadada waje hapa watueleze namna wanayopitia katika mahusiano ya mapenzi ya awali hadi kufikia uchumba.
Pia vikwazo wanavyovipata na maumivu wayapatayo kwenye mahusiano.
Kama mjuavyo wakuu mpaka dada afikie hatua ametulia na mtu mmoja anakuwa amepitia mengi.
Mimi sitasahau nilikuwa na beb wangu shost wangu akamchukua mazima.
Ila Mungu mwema kwa kupitia JF Love Connect ikanipatia mume mwema..
Sasa mimi ni mama wawili...
Karibuni
Leo naomba wadada waje hapa watueleze namna wanayopitia katika mahusiano ya mapenzi ya awali hadi kufikia uchumba.
Pia vikwazo wanavyovipata na maumivu wayapatayo kwenye mahusiano.
Kama mjuavyo wakuu mpaka dada afikie hatua ametulia na mtu mmoja anakuwa amepitia mengi.
Mimi sitasahau nilikuwa na beb wangu shost wangu akamchukua mazima.
Ila Mungu mwema kwa kupitia JF Love Connect ikanipatia mume mwema..
Sasa mimi ni mama wawili...
Karibuni



