Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Nitamchukulia ana matumizi mabaya kwa hiyo nitamfundisha kubana bajeti... ila na wewe uwe unampa hela ya shoping
yani laki tano kwa mwez ni mpe na hela ya shopping tena huwezi kuwa serious miss chagga asee.....hiyo yote anafanyia nini?kwa mwezi
 
Hahaha kwani we unaonaje?

Mie sioni chochote, sikujua una unyumba....na hata hivyo majibishano yetu na wewe hayana maudhui ya "kutakana" lol, Ntuzu na wivu wake tu.
 
Last edited by a moderator:
Mie sioni chochote, sikujua una unyumba....na hata hivyo majibishano yetu na wewe hayana maudhui ya "kutakana" lol, Ntuzu na wivu wake tu.

Hahahah...hana tatizo my husband sema alikuwa anakujulisha tu kuwa mi muke ya mutu so that u dont go far teeh..!
 
Last edited by a moderator:
Hahahah...hana tatizo my husband sema alikuwa anakujulisha tu kuwa mi muke ya mutu so that u dont go far teeh..!

Nadhani ni warning tu kwa kaka yangu nahisi aliona kuna mtu anataka kwenda extra miles
 


Hayo yote ulivyosema ni sawa lakini tujue kama kwa girlfriend material inawezekana lakini sio kwa wife material,,,,maana kuna baadhi ya wasichana unaDate nae Mizinga kama nuclear utadhani ndio Mke sasa yaani anakugeuza baba yake wa hiari au mlezi!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 

Kaka mie na m/Mke wa dizaini hiyo lazima akae nyumbani tu sasa unafanya kazi ya nini kama mshahara ni wako peke yako, utaona walivyo kosa aibu mtoto anataka hata hela ya begi la shule atakuambia mwambie baba yako!

Mie nakuambia ubaki nyumbani ulee familia!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…