wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,550
Bi Madeline Albright Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Marekani Ktk Utawala Wa Clinton Aliwahi Kuitembelea Korea Kaskazini Na Kukutana Na Rais Wa Kipindi Kile Hayati Kim Jong iL,baba Mzazi Wa Rais Wa Sasa Kim Jong Un,rais Kijana Kuliko Wote Duniani Kwa Sasa,bi Madeline Alisema Kim Jong iL Alipendelea Sana Kula Nyama Ya Punda Na Kunyoa Panki,ni Rais Katili Asiye Na Huruma Hata Chembe,na Sasa Mwanae Rais Kim Jong Un Kafuata Nyayo Za Baba Yake,naye Hupenda Kunyoa Panki,kula Nyama Ya Punda,na Pia Anaua Wapinzani Wake,aliamuru Mjomba Wake Auawe Kikatili Kwa Kushambuliwa Na Kundi Kubwa La Mbwa Wenye Njaa Kali,inasemekana %60 Ya Bajeti Ya Nchi Hiyo Inaenda Jeshini Yote,korea Kaskazini Ni Taifa Maskini Sana Ukilinganisha Na Korea Kusini Ambao Uchumi Wao Upo Imara Sana,kama Alivyokuwa Baba Yake,kim Jong Un Pia Ni Muoga Sana Kusafiri Nje Ya Nchi Yake Kwa Sababu Ya Kuhofia Usalama Wake,raia Wa Taifa Hilo Hawaruhusiwi Kufanya Mawasiliano Ya Simu Au Email Nje Ya Nchi Yao ,mshirika Mkubwa Wa Taifa Hilo Ni China Na Urusi.