Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,512
- 12,014
Haaahaa bilionare lugano a.k.a @kidukuliloMdogo wa kiduko lilo, utakuta ata chuo hukijui kikoje
Haaahaa bilionare lugano a.k.a @kidukuliloMdogo wa kiduko lilo, utakuta ata chuo hukijui kikoje
Umehitimu chuo gani? Mwaka gani na kozi gani?Hata kwenye utajiri, jifunze tabia ya utajiri nawe utakuwa tajiri, sio uhangaike kuutafuta, utaupata lakini hautakaa kwani sio tabia yako
Mimi mbona nilishakuja siku nyingi tu😃😃❤️❤️
Njoo DSM
Ulihitimu mwaka gani, chuo gani, na ulisoma kozi ipi?
Njoo DSM